Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Astaghfirullah. hivi ni nani wanaotegemea zaidi kutoka (sadaka, ruzuku au hisani za Nje) Ni Zanzibar kweli? na siyo Tanganyika ilivyofanya mbinu na hila za kuchukua kilicho-kingi kupindukia kati ya kile Tunachogaiwa Tanzania?
Mkuu sasa kiswahili kinakupiga chenga ,hapo naeleza kuwa Tanganyika wao humwagiwa mapesa kutoka katika bajeti za mataifa hayo kila mwaka na kama watasita basi ndio itakuwa mwisho wa jeuri zote na kujitapa kwao.