Je, ya Aboud Jumbe yamejirudia?

Je, ya Aboud Jumbe yamejirudia?

Kosa kubwa alilofanya Kinana ni kuamua kumuunga mkono Nape na kumkandia bi mdogo oohh sorry bwana mdogo bashite..Kushugulikiwa kwa Kinana na dereva wa lori iwe ni funzo kwa wezi wote wanaosaidia wizi wa kura za ccm. Acha wafu wazikane
Aisee, Lumumba hawapendi kuona ukweli kama huu
 
DW leo wamesema serikali ya Tz haishauriki, Inakandamiza uhuru wa habari, kuna utekaji nyara, ufungiaji vyombo vya habari, kuminya demokrasia, uzuiaji wa shughuli za kisiasa, kufukuza wafanyakazi nk, viongozi kujiamulia mambo bila kufuata kanuni na taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria.

I think World is watching us to the same way like Venezuela under Nicholas Madulo.

NB:
Zamani wakati nafanya course flani hivi, kulikuwa na utaratibu wa kuwabakisha chuoni wale waliofeli (NANGA) ili waendelee kujifunza kipindi intake mpya inapoingia, sasa kutokana na hali hiyo ma failure hao kujazana chuoni hapo wakaanza kuambukiza mapuuza kwa kila intake mpya, matokeo kila intake kupoteza intellectuals.

Mungu Ibariki TZ, Mungu nibariki mimi.
 
Vyovyote iwavyo hakuna namna ya kupinga kuwa KINANA KAZUIWA, ikiwa ni ugonjwa,hakungekuwa na usiri,kama ni uchovu pia si jambo la siri, sasa kama hayuko kati ya hayo,yupo wapi?
 
DW leo wamesema serikali ya Tz haishauriki, Inakandamiza uhuru wa habari, kuna utekaji nyara, ufungiaji vyombo vya habari, kuminya demokrasia, uzuiaji wa shughuli za kisiasa, kufukuza wafanyakazi nk, viongozi kujiamulia mambo bila kufuata kanuni na taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria.

I think World is watching us to the same way like Venezuela under Nicholas Madulo.

NB:
Zamani wakati nafanya course flani hivi, kulikuwa na utaratibu wa kuwabakisha chuoni wale waliofeli (NANGA) ili waendelee kujifunza kipindi intake mpya inapoingia, sasa kutokana na hali hiyo ma failure hao kujazana chuoni hapo wakaanza kuambukiza mapuuza kwa kila intake mpya, matokeo kila intake kupoteza intellectuals.

Mungu Ibariki TZ, Mungu nibariki mimi.
Kama ulisikiliza vema DW,ilipofika wakati wa kuongelea suala la uminywaji wa habari ktk dw,matangazo yalipotea hewani na yaliporudi taarifa ile ilikuwa imeshapita,hivyo sehemu kubwa haikusikika,,,,DW tunaomba muirudie kwani na yenyewe imeminywa,
 
Kinachoendelea kuhusiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye hajaonekana kwa muda mrefu ni kujirudia kwa mambo yaliyomkuta Sheikh Aboud Jumbe mwaka 1984?
Tetesi zilizopo ni kuwa Kinana hatakiwi kutoka nyumbani kwake wala kuzungumza na media, Je Kinana amewekwa kizuizini? Ni kosa gani Kinana amefanya mpaka kupewa zuio hilo?

Karibuni kwa mjadala
Kwani alipingana na chama chake? Mbona hakuna mfanano?
 
Jumbe alikua rais na akaishia Kigamboni sembuse kanali?
Who is kanali watu wakiamua kukufanyia figisu?
Serikali kwa maneno simple ni Sirikali
wale wanaoapa kutunza siri ni kweli hutunza siri mpaka mwisho wa uhai wao? je wakitoa siri nini kitatokea?
 
saivi amebaki yule mbavuzambwa anazunguka kununua anaowaita 'wapinzani'
 
saivi amebaki yule mbavuzambwa anazunguka kununua anaowaita 'wapinzani'
..Na Naibu wa katibu (yaani Rodricki Mpogolo) yuko kimya sana! Anafanya kazi kimya kimya sana...
Rodrick Mpogolo:
1. Alifanya kazi CCM makao Makuu Dodoma (kitengo maalum),
2. Akawa DC wa Chato,
3. Akawa "WAKALA" wa Kura ya JP wakati wa ugombea wa Kiti cha Urahisi wakati wa Mkutano wa uchaguzi wa ccm,
Na sasa yuko KIMYA....
 
..Na Naibu wa katibu (yaani Rodricki Mpogolo) yuko kimya sana! Anafanya kazi kimya kimya sana...
Rodrick Mpogolo:
1. Alifanya kazi CCM makao Makuu Dodoma (kitengo maalum),
2. Akawa DC wa Chato,
3. Akawa "WAKALA" wa Kura ya JP wakati wa ugombea wa Kiti cha Urahisi wakati wa Mkutano wa uchaguzi wa ccm,
Na sasa yuko KIMYA....
angesema lipi unalolijua
 
Back
Top Bottom