kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,497
- 5,186
Huo ni mfumo dume, hivi mwanaume aliyeleta umbeya hawezi kusutwa akiwa amevaa suruali? Au ukiwa umevaa sketi ndo kusutwa kunamwingia sawasawa mtu anayesutwa?ACHA KUSAMBAZA UMBEA, UTAVISHWA SKETI KISHA USUTWE !!
Hakika usilolijua ni kama usiku wa kiza.Baadhi ya watanzania kwa kuzusha hawajambo!kilichowahi kuniacha hoi bin taaban ni ile ya Jenerali Mwamunyange.
Wengi waliaminishwa upuuzi at the end uongo na ukweli vikajitenga.
Hili nalo litakuwa sio sahihi,is just the matter of time.
Watu wanatunga uongo unaokuja kuwaumbua muda si muda.
Hakuna sababu yoyote ya huyo jamaa kuwekwa kizuizini
Kinachoendelea kuhusiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye hajaonekana kwa muda mrefu ni kujirudia kwa mambo yaliyomkuta Sheikh Aboud Jumbe mwaka 1984?
Tetesi zilizopo ni kuwa Kinana hatakiwi kutoka nyumbani kwake wala kuzungumza na media, Je Kinana amewekwa kizuizini? Ni kosa gani Kinana amefanya mpaka kupewa zuio hilo?
Karibuni kwa mjadala
Ni kweli Mkuu!Hakika usilolijua ni kama usiku wa kiza.
Acha yapotezaneMaCCM yalivyo makatili yanaweza kumpoteza Kinana kabisa.
Kwani ukivaa sketi lazima uwe mmbeya?????ACHA KUSAMBAZA UMBEA, UTAVISHWA SKETI KISHA USUTWE !!
Mbona unauhamisha uzi na kuupeleka kwenye siasa za maji ya mtaro.Mi mwenyewe CCM lakini ninataka kujua kuhusu katibu.Chadema ni wanafki sana kuna kipindi walikuwa wanamponda lowassa na sumaye wakiwatuhumu wezi tena mafisadi papa mungu kwa uwezo wake akawaumbuwa akawaperekea wote bila ya aibu wakawasafisha awakutosheka wakamzungumzia kinana fisadi wa pembe za ndovu leo hii kinana amekaa kimya wanatudanganya tena eti tetesi kinana amezuiwa CHDEMA acheni unafiki mungu anakuoneni .magaufur alishasema ataki siasa wanachama wake kwanza wafanye kazi .
Alikuwa anahangaika kwa sababu yeye na nape ndo waliiua ccm sasa hivi hamna haja ya kuhangaika kwa sababu anayofanya jpm na kutenda yanajieleza yenyewe hivyo nguvu haitakuwa kubwa mana watanzania wamesharudisha imani ile iliyopotea.CCM wana laana.nikikumbuka kinana alivyokuwa anahaingaika vijijini kurudisha imani kwa wanachama.huwezi kuamini kuwa sasa anatendewa haya.
Uko sahihi walisema ataongea na jumuiya ya vyuo vikuu nyumbani kwake na waandishi wa habari wanakaribishwa. Kweli suala hili lilivyo media wangepuuza kwenda!Niliona mahali jana,eti leo kinana angeonana na jumuiya ya wana vyou vikuu wa ccm yumbani kwake.sijui kama kweli kazungumza nao.
Si alitumwa kutibiwa, sasa akidanja si alikuwa mgonjwa, kuna kupona ama kudanja.MaCCM yalivyo makatili yanaweza kumpoteza Kinana kabisa.

Kinana ni komandooKama ukiisoma namba unapewa cheti, basi Nape na Kinana wanakaribia kutunukiwa gamba.