Je, ya Aboud Jumbe yamejirudia?

Je, ya Aboud Jumbe yamejirudia?

Pili pili usioila yakuwashia nini??

Fanya mambo yako achana na tetesi

Taarifa na wenyewe umeshaipata tatizo liko wapi!!
 
Yameshindwa kudeliver hofu na uwoga imewaingia hadi yenyewe kwa yenyewe hayaaminiani. Yamebaki kutawala kwa uwoga, mikwara na vitisho wakitumia dollar. Agenda yao kuu sasa hivi nikufanya juu chini kubaki utawalani hata kama uchumi utaporomoka.

Sizonje yupo hapo kama adhabu kali kutoka kwa Mungu
 
Kinachoendelea kuhusiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye hajaonekana kwa muda mrefu ni kujirudia kwa mambo yaliyomkuta Sheikh Aboud Jumbe mwaka 1984?
Tetesi zilizopo ni kuwa Kinana hatakiwi kutoka nyumbani kwake wala kuzungumza na media, Je Kinana amewekwa kizuizini? Ni kosa gani Kinana amefanya mpaka kupewa zuio hilo?

Karibuni kwa mjadala
Kinana si ni muislam kama Aboud Jumbe?
 
Chadema ni wanafki sana kuna kipindi walikuwa wanamponda lowassa na sumaye wakiwatuhumu wezi tena mafisadi papa mungu kwa uwezo wake akawaumbuwa akawaperekea wote bila ya aibu wakawasafisha awakutosheka wakamzungumzia kinana fisadi wa pembe za ndovu leo hii kinana amekaa kimya wanatudanganya tena eti tetesi kinana amezuiwa CHDEMA acheni unafiki mungu anakuoneni .magaufur alishasema ataki siasa wanachama wake kwanza wafanye kazi .

Anzisha Uzi wa Chadema na Lowassa.Wacha tuendelee kujadili Kinana na kupewa ban ya kuongea na watu
 
Kinachoendelea kuhusiana na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ambaye hajaonekana kwa muda mrefu ni kujirudia kwa mambo yaliyomkuta Sheikh Aboud Jumbe mwaka 1984?
Tetesi zilizopo ni kuwa Kinana hatakiwi kutoka nyumbani kwake wala kuzungumza na media, Je Kinana amewekwa kizuizini? Ni kosa gani Kinana amefanya mpaka kupewa zuio hilo?

Karibuni kwa mjadala
Baadhi ya watanzania kwa kuzusha hawajambo!kilichowahi kuniacha hoi bin taaban ni ile ya Jenerali Mwamunyange.
Wengi waliaminishwa upuuzi at the end uongo na ukweli vikajitenga.
Hili nalo litakuwa sio sahihi,is just the matter of time.
Watu wanatunga uongo unaokuja kuwaumbua muda si muda.
Hakuna sababu yoyote ya huyo jamaa kuwekwa kizuizini
 
Back
Top Bottom