Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,942
- 93,674
OkNchi jirani na maeneo hayo zipo stable na raia wake hata kama ataingia wengi wao wanarudi walipotoka na wana mahusiano ya kindugu mfano Wakurya wa Tz/Wakurya wa Kenya, Wajaluo wa Tz/Wajaluo wa Kenya, Wamasai wa Tz/Wamasai, Wanyambo wa Karagwe / Wanyankore wa Uganda huwa Kuna vi-favor visivyo rasmi kutokana na mahusiano ya moja Kwa moja ya kiutamaduni kabla na baada ya Uhuru hasa ukizingatia tulikuwa chini ya koloni la Uingereza lakini Kuna watu wanakuwa Wana vinasaba vya karibu tangu enzi na enzi