Je, Wazungu wana athirika na UKIMWI?

Syolosu

JF-Expert Member
Oct 18, 2019
867
1,008
Naomba kuuliza hivi Wazungu nao wanaathirika kwa UKIMWI? Maana huwasisikii habari zao kuwa wanaugua, na kama wanaugua mbona habari zao hazisikiki kama huku kwetu AFRICA.

Au wao wanapewa CHANJO wanapozaliwa?
 
Naomba kuuliza hivi wazungu nao wanaathirika kwa UKIMWI? Maana huwasisikii habari zao kuwa wanaugua, na kama wanaugua mbona habari zao hazisikiki kama huku kwetu AFRICA.

Au wao wanapewa CHANJO wanapozaliwa?
Jamii iliyo athirika sana Na UKIMWI kwa wazungu ni gay community. Wanapata matibabu na sasa hivi research zimeonyesha kuwa waliofubaza vidudu hawawezi kuambukiza wengine hivyo si lazima kumwambia one night stand kuwa umeukwaa. Ni lazima kumfahamisha anaetaka kufunga ndoa na wewe.
 
Jamii iliyo athirika sana Na UKIMWI kwa wazungu ni gay community. Wanapata matibabu na sasa hivi research zimeonyesha kuwa waliofubaza vidudu hawawezi kuambukiza wengine hivyo si lazima kumwambia one night stand kuwa umeukwaa. Ni lazima kumfahamisha anaetaka kufunga ndoa na wewe.
Sorry ni matibabu gani wanayo pata huku sisi tunajua kuna dawa za kufubaza tu

Kwamba hiyo ni dhahiri kuwa wazungu wanajali sana usalama katika kujamiana ambayo ni moja ya njia kubwa ya kuukwaa ukimwi
 
Sorry ni matibabu gani wanayo pata huku sisi tunajua kuna dawa za kufubaza tu

Kwamba hiyo ni dhahiri kuwa wazungu wanajali sana usalama katika kujamiana ambayo ni moja ya njia kubwa ya kuukwaa ukimwi
Ni ARV’s tu, mwaka 2008 ziliboreshwa sana. Kwa waliofanikiwa kufubaza vidudu wanaishi maisha ya kawaida kama wengine wote. Wanapata ajira, wanaoa na kuolewa, wanakua familia na maisha yanasonga.
 
Sorry ni matibabu gani wanayo pata huku sisi tunajua kuna dawa za kufubaza tu

Kwamba hiyo ni dhahiri kuwa wazungu wanajali sana usalama katika kujamiana ambayo ni moja ya njia kubwa ya kuukwaa ukimwi
Usalama gani unao uzungumzia hapa... Kufanya ngono kinyume na maumbile au?

Soma hapa... Alafu uniambie why there is a rise of other STDs but not H.I.V!

How Syphilis Sneaked Up on Americans



Screenshot_20200425-123705~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usalama gani unao uzungumzia hapa... Kufanya ngono kinyume na maumbile au?

Soma hapa... Alafu uniambie why there is a rise of other STDs but not H.I.V!

How Syphilis Sneaked Up on Americans



View attachment 1429982

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna member kasema gay community ndo waloathirika zaidi ktk jamii ya wazungu... So nikajua the rest wanajilinda sana labda kwa kuzingatia kupima kabla HIV

Hapo nawe unahabarisha kuwa STDs ndo inawaathiri ktk report hiyo, kwamba usalama hauzingatiwi kwa hizo STDs ndo najiuliza kwanini HIV haijaenea kama huku kwetu?
 
Ndio wana athirika na HIV, isipokuwa ARV zao ni tofaut na zetu, na kumbuka kuna species za virusi wa HIV tofaut tofauti.

Wao hawamezi kila siku kama ss, wapo advanced kidogo kwa dawa zao
 
Huko mbele STD's kama Gonorrhea,Syphills,Clamydia,Genital Herpes ndo yapo kwa wingi au tuseme ndo common..huwa najiuliza why not HIV/AIDS?
 
ARV ziko tofauti na hizi za kwetu tunazoletewa.
Pia wanavimeza kwa wiki mara moja, wengine kwa mwezi mara moja na wengine pia wanapiga mara moja kwa miezi mitatu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ARV ziko tofauti na hizi za kwetu tunazoletewa.
Pia wanavimeza kwa wiki mara moja, wengine kwa mwezi mara moja na wengine pia wanapiga mara moja kwa miezi mitatu.


Sent using Jamii Forums mobile app
OK nakupata.... ARV zao nizakiwango cha juu.

Zinafanya kwamba immune zao zinaimarika zaidi kiasi kwamba ile yakuona kwa macho ukahisi mwathirika haipo.

Na kwavile zinakuja kimsaada so hatuna uchaguzi

Je haiwezikani kuzipata kwa kuzinunua mfano ukiwa unaishi huko kwao?

Je hata nchi za wazungu nao zinatolewa bure kwa wagonjwa?
 
Back
Top Bottom