Je wazee walikuwa sahihi katika hili?

Je wazee walikuwa sahihi katika hili?

Kwanza sidhani kama hao wa zamani walikua wanaandaana kama saivi
hahaha maandalizi lazima bana sasa unadhani walikuwa hawana mahaba...lol im kidding!

Hiz mambo za vileleni wameleta wazungu kizazi cha mitandao. Zamani ilikuwa mtu anapigwa kuni anaridhika bila kujua kumbe kuna mambo ya vileleni. Kabila chache ndio zilukuwa zinajua hasa makanda ya pwani
 
Ila upate mtu romantic, yale mashamba hayatakagi hata kuguswa mkigombana 🤣🤣🤣 yanaleta beef ila mtoto flani mpole sana na romantic hapo ndio pa kuchukulia points.
Una akili sana mkuu, wanawake wa kanda fulani wako na hiyo tabia
 
Back
Top Bottom