The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,450
Enzi za chama kimoja zilisha isha. Maamuzi ya nani atakuwa Rais ni ya Watanzania wote. Kama ni kupokezana basi next time iwe zamu ya CDM, then CUF, NCCR n.k. maana CCM washa tawala miaka 50 sasa. Watanzania wana akili za kuchagua kiongozi bora kama hawatapandikiziwa kiongozi na wanasiasa. mwaka 2005 Salim alikuwa ni potential candidate ambaye angekubalika sana na Watanzania lakini Wanzibar wakamkataa.
Na kama ni mambo ya zamu kutoa mgombea huko CCM then that time ilikuwa ni zamu yao wakaamua JK achukue. Sasa zamu yao imekwishapita maana walimpa JK. Kwa ujumla ngoma CCM ni ngumu sana sasa wanataka kutumia huo mtaji kuendelea kutawala na sisi tunakuwa carried away as if we are not GTs na kubaki kudisscuss CCM candidates wakati tunajua kuna potential candidates from opposition kama Dr. Slaa ambao wako tayari kutuongoza kwa moyo wote kuliko hawa wa CCM ambao wako tayari kututawala kwa njia yeyote.
Na kama ni mambo ya zamu kutoa mgombea huko CCM then that time ilikuwa ni zamu yao wakaamua JK achukue. Sasa zamu yao imekwishapita maana walimpa JK. Kwa ujumla ngoma CCM ni ngumu sana sasa wanataka kutumia huo mtaji kuendelea kutawala na sisi tunakuwa carried away as if we are not GTs na kubaki kudisscuss CCM candidates wakati tunajua kuna potential candidates from opposition kama Dr. Slaa ambao wako tayari kutuongoza kwa moyo wote kuliko hawa wa CCM ambao wako tayari kututawala kwa njia yeyote.