FiQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 477
- 76
Naona mmeamua kujifariji
Nape @ work, kalaghabaho.....
Naona mmeamua kujifariji
me nipo udom bt bado naisupport ccm mana cdm ni wapumbavu nado hawajielewi.
Enrolled kwa nafasi za upendeleo au vyeti feki, tunawajua lakini mwishowenu ni karibu na pua yenume nipo udom bt bado naisupport ccm mana cdm ni wapumbavu nado hawajielewi.
<br />Nape @ work, kalaghabaho.....
Naona mmeamua kujifariji
<br />[
QUOTE=Tanganyika jeki;2115952]Chadema haina pesa ya kuwalipa makada. CCM inajimaliza yenyewe kwa kuwatengenezea makada wapinzani wao. Makada hao - kwa kujua au kutojua na mchango wao kwenye
mabano1. Wanafunzi waliofukuzwa au kusimamishwa vyuo vikuu - na juzi wamezalisha wengine Chuo cha Dodoma, wanafunzi wa shule za kata waliofeli kidato cha nne (kuishtakia serikali (ya CCM) kwa wananchi ili waichukie na kushindwa kuwa na elimu bora bali bora elimu2. Walimu na madaktari - hasa wa vijijini - waliopigika hawana nyumba vitendea kazi, mishahara kidogo na wapigwa bakora! Kupeleka na kueneza chuki kwa wanafunzi na wanavijiji kuhusu udhaifu CCM na serikali yake 3. Wanachama na wachangiaji wa Jamii forums (kuwasaidia CHADEMA kwa hoja, habari na mawasiliano) 4. Mwenyekiti kwa kutoa mara kwa kauli zake za tata - kama viongozi wa dini wauza unga, viherehere vyenu (kauli nyingine, ongeza mwenyewe.5. Polisi (virungu, na risasi zao zinaiumiza CCM kuliko CDM). Dhana ni kupoteza credibility ya CDM kwa wananchi km chama cha kuharibu amani. Ushahidi unaonesha watu wazidi kuongezeka hasa ktk maandamano. Lakini pia uonevu na unyanyasaji wa polisi kwa mambo ya haki na kudai maslahi umewafanya watu wazidi kuichukia serikali ya CCM6. Wabunge na mawaziri wa CCM. (Bila kuijua wanaitangaza CDM majimboni, Bungeni na ktk vyombo vya habari na hoja dhaifu zisizo na maslahi ya taifa na wengi)7. Mwanahalisi, raia mwema, tz daima, mwananchi, kulikoni, majira na nipashekwa wkt fulani. Haya hayasiti kuripoti na kuonesha mapungufu ya chama, serikali na viongozi wake.8. Radio zenye mijadala ya kimaendeleo zinazowaunganisha wananchi moja kwa moja9. Baadhi ya TV Stations na vipindi hasa vya majadiliano 10. Viongozi na watumishi wa serikali za mitaa. (Cjui wanafanya makusudi - na kwamba wameichoka serikali yao - kwani ni kero kwa wananchi)11. Watumishi wa umma kwa ujumla wao. (Km hujui inyake hii. Miongoni mwa watumishi wa umma kuna matabaka makuu mawili:- ya walioletwa na vigogo na kulindwa ajira zao - hawa ni tawi la tabaka tawala na juu na wengi ni mafisadi au watetezi wa ufisadi. La pili ni waloajiriwa kwa merits zao. Hawa, kwa kweli wanatumika hasa lakini maslahi yao ni stahiki yao na baadhi ni hupata mshahara duni. Wamekata tamaa. Baadhi wanafanya whistle blowing - wanamwaga mboga baada ya kukosa ugali. CDM hawahitaji mashushushu hawa huisadia! Kwa kupeleka taarifa chamani au na mara kwenye vyombo vya habari)12. Ongeza unaowajuaTANZANIA KWANZA