Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Sitaki kulaumu sera za ccm direct ila mimi nadhani watekelezaji kwenye kile chama kwa sasa hawapo.Waliokuwa kipindi kile ndo walikuwa wanaziweza mwalimu,Kawawa,Sokoine hicho ndo kizazi cha utekelezaji.Ila hawa waliobaki kama hawazielewi sera zenyewe au kwa maslahi yao hazifai.Yote ya yote hata sera za chadema watu hatuzijui ila watu wanachotaka ni mabadiliko ya uongozi bila hata kujua kwenye hivi vyama vya upinzani kuna nini ndani yake.Huu ufisadi unaopigiwa kelele hata sera za ccm navyojua zinapinga ila nadhani unajua kwamba ndo wanaongoza kwa kujilimbikizia mali.