Je, Wanayofanya wanawake hawa ni sawa?

Je, Wanayofanya wanawake hawa ni sawa?

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na mbwa jike, ng'ombe jike, hata ngurue jike. Pia nyani ni jike ila binaadam amepewa sifa ya kua mwanamke.

Mi ninaoona hapa si wanawake bali ni majike. Na kuna ambao sifa ya mwanamke haiwafai.
mwanamke amepewa jukumu zito la kuendeleza jamii na sio kufanya kama hii hapa;
 
Kwanza jamiii inawashangilia ndo maana unaona kuna wanawake wamewazunguka wanaangaliaa na kucheka wamejisahau hapo wanaaibishwa wao, pili wanaowapigia hizo tarumbeta ni wanaume unaona kabisa wanawashika makalio kwahiyo kwa ujumla jamii imeharibikaa
 
Hamna kosa hapo,ni maisha tu.. hivyo wanapunguza strees
Mwanao au hao watoto wanaoona hayo pia wanapunguza stress?
Unajua haya yakifanywa kwenye maclub no worries ila ina apublic place at a broad day light?
 
kuna tofauti kubwa kati ya mwanamke na jike.
mbwa jike, ng'ombe jike, hata ngurue jike. Pia nyani ni jike. ila binaadam amepewa sifa ya kua
mwanamke.
mi ninaoona hapa si wanawake bali ni majike. Na kuna ambao sifa ya mwaanauke haiwafai.
mwanamke amepewa jukumu zito la kuendeleza jamii na sio kufanya uf""""ka kama hii hapa

Weweee! Acha ushamba, hiyo inaitwa "motisha" ili wajazwe mimba haraka watimize hilo jukumu la kuongeza familia.
 
Hii VIDEO haifai, kila kitu kinaonekana.

Nyapu yote inaonekana na vile anavyojimanua miguu huku mwishoni yule alie uchi wa mnyama, ni kichefuchefu na aibu.

Tunaomba wahusika huu uzi muupeleke jukwaa la wakubwa, huku haufai hata kidogo
 
Back
Top Bottom