Wakuu,
kwa hali inavyojidhihiri yenyewe chadema wanaonekana kujali sana swala la afya na hatua mathubuti ya kujikinga na corona
Itakumbukwa mapema mwezi huu wabunge wa chadema waliamua kujitenga na kugomea kushiriki vikao vya bunge kwa tahadhari ya ugonjwa wa corona.. hii ilikuwa right move kiukweli japo bunge na serikali viliendelea na shughuli zao kama kawaida
Najiuliza hapa, corona bado ipo tena ya kiwango cha bombadia na mheshimiwa rais Magufuli ametangaza uwezekano wa kufungua shule na vyuo ilihali hali halisi ya corona bado iko kama kawaida
Je, tutarajie wanaCHADEMA na vyama vya upinzani kuwaongoza na kuzuia watoto wao kurudi shule na vyuoni kwa hofu ya kupata corona?
kwa hali inavyojidhihiri yenyewe chadema wanaonekana kujali sana swala la afya na hatua mathubuti ya kujikinga na corona
Itakumbukwa mapema mwezi huu wabunge wa chadema waliamua kujitenga na kugomea kushiriki vikao vya bunge kwa tahadhari ya ugonjwa wa corona.. hii ilikuwa right move kiukweli japo bunge na serikali viliendelea na shughuli zao kama kawaida
Najiuliza hapa, corona bado ipo tena ya kiwango cha bombadia na mheshimiwa rais Magufuli ametangaza uwezekano wa kufungua shule na vyuo ilihali hali halisi ya corona bado iko kama kawaida
Je, tutarajie wanaCHADEMA na vyama vya upinzani kuwaongoza na kuzuia watoto wao kurudi shule na vyuoni kwa hofu ya kupata corona?