beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
Good!
Hvyo Muda wa kupanda kitandani unaujua,ila wa saa ya kupata usingizi huujui mdogo wangu.
Ndio dada
Good!
Hvyo Muda wa kupanda kitandani unaujua,ila wa saa ya kupata usingizi huujui mdogo wangu.
Je kweli wajua wakti wako haswa wa kulala au wajua wakit wako haswa wa kpanda kitandan. . . . ?
Mana kna w2 hsema "mi nalala sa 4" Je kwl huwa kalala ucngz
Kan'shangaza mtoa mada anasahau kupakua wali , anapakua matandu.
Hivi hii miandiko gani tena mie huwa inanichukua muda sana kuelewa kinachomaanishwa.......................!!!:wacko:
Alafu wewe!Bora tu hajauliza manake nahisi ungeongopa kama sio kuexaggerate! Lol
Usicheke mkiva yan noumer etiii
Alafu wewe!
Na ujirani wako wa kidarisalama huo!
Jirani hata siku moja sijaisikia "jamani tumeivisha" looh! Hata chembe ya soni ?
Wambuzi ndiyo unaongoza ligi ! Khaaa!
Husninyo alishatuonya ndo maana pipo za humu nazigwaya sana! Lol
Hivi tuseme wajitoa fahamu kwamba nduguyo Husn alivunja serikali yake mwenyewe ?
Nikastriwa au niseme nikaokotwa na Serikali mpya, leadin with BeibeNasty !
So policy active ziko kwa BN ! Kua na amani jirani .
mie najua muda naozimika kila siku.
Hivi hii miandiko gani tena mie huwa inanichukua muda sana kuelewa kinachomaanishwa.......................!!!:wacko:
pole xana ila ckujua kama itakgharim hvy
Unazidi kulikoroga kabisaaaa............!!!
Unazidi kulikoroga kabisaaaa............!!!
Akukorogae! Mvuruge .