Siamini. Nimeishi Sudan, Kenya, Chad na Angola. Katika nchi hizo huenda Angola iko mbele ya TZ. Chad kulikuwa na rushwa lakini sasa rais wao ameweka ngumu ile mbaya. hivi nisemavyo mawaziri watatu wako ndani na mali zao kutaifishwa! Sudan....wala usifananishe na TZ. Sudan ilianza kujijenga mwaka 2005 baada ya kutia mkataba wa amani. Hivi sasa Khartoum ina taa za barabarani masaa 12 usiku, imejenga barabara pana zenye lane sita, ukirudi baada ya mwezi tu utaona mabadiliko makubwa. hawa Wazungu wana siasa zao. Huoni hata mauaji ya Arusha hayakutangazwa popote? Lau ingekuwa Sudan, Kenya etc ungesikia dunia nzima! hii ndio maana kwa nini dhahabu yetu inachukuliwa bure na makampuni ya kimataifa!!!!!!!!!!!! Amkeni. Nani anayezungumzia haki za binadamu saudia? Unajua kwa nini? Kwa sababu wazungu wapata mafuta ya chee. lakini Iran? kila siku unasikia 'haki za binadamu'