minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,933
Mimi nipo hapa kwa hizo za so called Satan.Zisome hapa.. Kama unajua kiingereza lakini.
Uchaguzi ni wako ufuate zile 10 za Mungu au hizi 11 za shetani.
Panua uelewa wako mzee!Mshana Jr ameiongelea Islamic rules.Najua Haters mtapinga tu hizo Amri za Shetani lakini Mwamba kapiga mle mle!! Mtapinga kwa ubishi tu, na wivu dhidi ya nondo za maana kwavile tumeaminishwa Mwamba sio kabisa, ingawaje kiuhaliisa, tunampigia shangwe... tena za kibingwa!
Ukweli usemwe, Mwamba hakukurupuka kama Bwana Yuleee!! Amri zake zimesimama na practical kuzidi hata zile alizotuletea Bwana Yule ambazo ni Impractical... hazitekelezeki maabara wala kwenye karakana!
Just imagine! Hakuna aliyekutaka ushauri wala kukuuliza lakini from nowhere"...oh, najua uukitaka kutoboa usawa huu, wekeza kwenye kilimo Chifu! Maparachichi yanalipa big time! Amini usiamini Chifu, parachichi ni Green Gold"
Pumbaaavu! Kwani we mwenyewe hutaki kutoboa? Ina maana huzitaki hizo Green Gold?! Kwamba Njombe wanakochimbua hizo green gold hukujui, ama?!
Nenda kalime mwenyewe hayo maparachchi, kenge wewe... kwani nimekuomba ushauri? Unakuta mwingine hujamuuliza wala nini halafu eti anakushauri upande miti gani sijui ambayo kuivuna ni sawa na kifungo cha Sabaya! Hivi zimetimia kweli wewe? Yaani kosa la babako mwenyewe aliyeshindwa kukulipia ada ya kusoma kozi uitakayo, na matokeo yake ukaishia kusomea Misitu SUA, halafu umeona mi ndo wa kunidoshea jumba bovu? Unajifanya kutoa ushauri bila kuombwa ili upate sababu ya kupiga mizinga, sio?
Tena Wabongo kwa kupenda kutoa ushauri.... dah!!
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni! Mwamba anajua! Unanipigia stori za matatizo yako kwani yananihusu nini wakati mwenyewe nina matatizo kibao?! Nenda kasimulie kanisani au msikitini huko, kama nako hawajakuona tapeli tu!
mdogo mdogo KING KIGODAPanua uelewa wako mzee!Mshana Jr ameiongelea Islamic rules.
mdogo mdogo KING KIGODA
Hakika.OK OK sawa.. But zote ni phenomenon tuu
Unaweza kusema hiyo Islamic rule ina-apply wapi hapo? Acha udini ewe kiumbe wa Mwenyezi Mungu!!Panua uelewa wako mzee!Mshana Jr ameiongelea Islamic rules.
Sioni ushetani hapo mbona?Zisome hapa.. Kama unajua kiingereza lakini.
Uchaguzi ni wako ufuate zile 10 za Mungu au hizi 11 za shetani.
Akikuzingua kwako unamzingua mazima
🤣🤣🤣Kweli devil nomaso shetani karuhusu nimchukue ili shoga apumzike... ruksaa
Namba 10 umesoma?Sasa mbona hata hazijakaa ki 'satanic'? Ukiangalia nyingi zina onya mambo ya msingi kweli.
Zipo relevant na hata ukitaka ku compare na amri za Mungu zina correlate.