Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,747
- 4,162
Zwazwa katika ubora wakoMkuu umevurugwa? Jongoo na Edo wapi na wapi tens?
Bavicha walihusikaje hapa???
Zwazwa katika ubora wakoMkuu umevurugwa? Jongoo na Edo wapi na wapi tens?
Asante Mkuu, binafsi mimi huwa sioni haja ya kumtukana mtu nisiyemjua, tatzo nini Mkuu, nimekukosea wapi, katika mada nzima umeona neno dheni tu? Nisamehe kama nimekukwaza mpendwa wangu, maisha ni mafupi lazima tuishi kwa upendo, na by the way mimi sijasema kuwa ni mfuasi wa CCM au CHADUMA, nisamehe mpendwa wanguDheni ndio nini we msukule wa CCM
Nisamehe kama nimekukela mpendwa, haikuwa dhamira yanguZwazwa katika ubora wako
Bavicha walihusikaje hapa???
Kaka soma hiyo link nilokutumia utangundua mengi sana, inafikia kiwango hiyo cyanide yenyewe inayokutisha kwenye jongoo ndio "dawa" yenyewe sasa. Soma tu hiyo paper mpaka mwisho, utakuta ".... and that sublethal cyanide ingestion may enhance human innate resistance to malaria, suggests promising ethnomedical perspectives to our findings." Pia baadhi ya mimea tunayoitumia kama mboga ina hiyo cyanideMkuu umekiri kuwa jongoo anaHCNG, nami nashukuru kwa hilo, hebu naomba ulete madhara ya hiyo gasi kwa binadamu, na ukumbuke kuwa so jongoo wote wana sumu, na hata kama utampata mwenye sumu jua kuna utofauti kulingana na mazingira alipo Huyo jongoo
Sawa mkuuKaka soma hiyo link nilokutumia utangundua mengi sana, inafikia kiwango hiyo cyanide yenyewe inayokutisha kwenye jongoo ndio "dawa" yenyewe sasa. Soma tu hiyo paper mpaka mwisho, utakuta ".... and that sublethal cyanide ingestion may enhance human innate resistance to malaria, suggests promising ethnomedical perspectives to our findings." Pia baadhi ya mimea tunayoitumia kama mboga ina hiyo cyanide
Asante Mkuu, binafsi mimi huwa sioni haja ya kumtukana mtu nisiyemjua, tatzo nini Mkuu, nimekukosea wapi, katika mada nzima umeona neno dheni tu? Nisamehe kama nimekukwaza mpendwa wangu, maisha ni mafupi lazima tuishi kwa upendo, na by the way mimi sijasema kuwa ni mfuasi wa CCM au CHADUMA, nisamehe mpendwa wangu
Badilisha kwanza hyo avat yako, ndio akili zitakuwepo za kutoa mada..Samahani kwa kukukwaza Mkuu, jf so mahala pa kukwazana
Asante Mkuu, sina ugomvi na weweBadilisha kwanza hyo avat yako, ndio akili zitakuwepo za kutoa mada..
Wanaoweka hyo aina ya avata weng ni hopeless
nimekutana na huu uzi baada ya kutafuta madhara ya jongoo kwa binadamu ili nimsaidie mwanangu,napenda kukujulisha tu ndugu jongoo anasumu sio nime ila ninamshuhudia mwanangu wa mwaka mmoja amepata madhara hadi sasa anajikuna na vimemtoka vidonda kama vya moto ,alikuwa amemshika jongoo akijaribu kumla bahati nzuri jongoo alikuwa anajipindapinda akawa anashindwa kumuweka mdomoni nikawahi kumpora na kumtupa kwa siku hiyo nilidharau maana mala ya kwanza nimeshawahi mkuta anamalizia kula kipande cha vile vijongoo vidogo ni kampora, kwa huyu mkubwa kwasababu nikajua ajamla nikaona aina shida lakini alipofika kesho yake vikaanza vipele na alikuwa anajikuna sahizi vipo kama vidonda sehemu za mdomo na mkono aliokuwa ammemshikiaa na jana nimemuangalia naona vinapanda kwenye mashavu,mtoa mada na yeyote anayejua naomba mnisaidie tiba kwa mtu aliyezulika nimempeleka hospital wamempa amoxyline na cetrizene ndiyo nasikilizia ameanza jana.nisaidieni.Mkuu kuunga mkono kitu bila kujiridhisha ni kubaya sana, nimesoma thread ya jamaa nikawa moved nikataka tu kuunga mkono hoja na kushare na wengine, ila hii kauli yako ya mwisho imenifanya ni google, labda jamaa kamfananisha na centipede (tandu), jongoo (millipedes) kasingiziwa tu jamani