Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,682
- 3,065
Tunapoelekea mwishoni mwishoni kuelekea uchaguzi mkuu hapo tarehe 28.10.2020
Ni bora tujikimbushe namna ya upigaji kura wetu.
Kazi yetu kubwa sisi wapiga kura ni kwenda kuwapigia kura wagombea tuliowakubali kwa sera zao binafsi,chama chao na Ilani zao zitakavyotekelezwa kwa miaka 5 mingine.
Basi nawaomba kuwambusha wapiga kura wenzangu
Alama hizi za upigaji kura zitahesabika moja kwa moja bil kutiliwa shaka yoyote.
Alama no:
1.(✔) halali
2.(✖) itahesabika halali
3.()✔ itahesabika halali
4.()✖itahesabika halali
Kura hizo zitakubaliwa kuwa ni halali.
Kura yenye utata.
Kura ambayo itakuwa na mgorogo ni ile mpiga kura ambayo atapiga tick kwa wagombea wawili au zaidi ya wawili ila msimamiz wa uchaguz(kata au jimbo) anao uwezo wa kuamua kwamba lengo la mpiga alitaka kumpigia nani ?
Mfano umetick kwa Lisu lakini ikapitiliza hadi kwa Hashimu Rungwe basi msimamizi ataamua kura yako ulilenga kwa mgombea yupi ilianzia wapi ataamua kuwa ni halali na ihesabike kuwa ni ya mgombea flani.
Kwa nini hii inaweza kutokea .
Hii inaweza kutoa endapo msimamizi wa ktuo pamoja na mawakala watashindwa kuafikiana kuwa kura hiyo ilimlenga nani ,msimamizi wa kituo atamplekea msimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata ,akikishindwa kuamua atamplekea wa ngazi ya jimbo na ndo atakuwa mwamuzi wa mwisho kufanya uamuzi.
Aidha mpiga kura anaweza kurudia kupiga kura pale anapoona ameharibu kabla hajaitumbukiza kwenye sanduku la kura.
Tuwe makini sana katika upigaji kura wetu.
Ahsanteni sana.
Tukachague viongozi tuanaowataka huku tukiwaomba NEC kutenda HAKI na kusimamia sheria.
Aidha tuwaombe wafuasi wetu wasiende na Matokeo.
Kwangu mimi nitampigia mpenda HAKI ,mpenda AMANI mfuata SHERIA ,mleta KATIBA MPYA.
Ahsanteni.
Ni bora tujikimbushe namna ya upigaji kura wetu.
Kazi yetu kubwa sisi wapiga kura ni kwenda kuwapigia kura wagombea tuliowakubali kwa sera zao binafsi,chama chao na Ilani zao zitakavyotekelezwa kwa miaka 5 mingine.
Basi nawaomba kuwambusha wapiga kura wenzangu
Alama hizi za upigaji kura zitahesabika moja kwa moja bil kutiliwa shaka yoyote.
Alama no:
1.(✔) halali
2.(✖) itahesabika halali
3.()✔ itahesabika halali
4.()✖itahesabika halali
Kura hizo zitakubaliwa kuwa ni halali.
Kura yenye utata.
Kura ambayo itakuwa na mgorogo ni ile mpiga kura ambayo atapiga tick kwa wagombea wawili au zaidi ya wawili ila msimamiz wa uchaguz(kata au jimbo) anao uwezo wa kuamua kwamba lengo la mpiga alitaka kumpigia nani ?
Mfano umetick kwa Lisu lakini ikapitiliza hadi kwa Hashimu Rungwe basi msimamizi ataamua kura yako ulilenga kwa mgombea yupi ilianzia wapi ataamua kuwa ni halali na ihesabike kuwa ni ya mgombea flani.
Kwa nini hii inaweza kutokea .
Hii inaweza kutoa endapo msimamizi wa ktuo pamoja na mawakala watashindwa kuafikiana kuwa kura hiyo ilimlenga nani ,msimamizi wa kituo atamplekea msimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata ,akikishindwa kuamua atamplekea wa ngazi ya jimbo na ndo atakuwa mwamuzi wa mwisho kufanya uamuzi.
Aidha mpiga kura anaweza kurudia kupiga kura pale anapoona ameharibu kabla hajaitumbukiza kwenye sanduku la kura.
Tuwe makini sana katika upigaji kura wetu.
Ahsanteni sana.
Tukachague viongozi tuanaowataka huku tukiwaomba NEC kutenda HAKI na kusimamia sheria.
Aidha tuwaombe wafuasi wetu wasiende na Matokeo.
Kwangu mimi nitampigia mpenda HAKI ,mpenda AMANI mfuata SHERIA ,mleta KATIBA MPYA.
Ahsanteni.