comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,456
- 11,518
Operamini ina built-in VPN, hata kwenye smartphone ukitumia opera mini kuingia jf ina bypass fresh tu
Ila dole gumba lazima lipindenimefurai sana kuuona uzi huu mimi mwenye natumia simu aina ya tecno 528 hi simu ina browser ya operamin inawezesha kufungua jamiiforums,wikipedia google ni inayokaa nachaji sana alafu kubwa zaid ukiweka mb hata 100 zinaweza kukaa hata mwezi na zikabak. kwasababu haina uwezo wa kucheza video online ila ina unaweza kudownload nyimbo kupitia mdundo,yngamedia na kadhalika ni simu nzuri kwakweli ina saut nzuri
Ni maji magumu.Chimpumu ndo nini mkuu..?
Mimi huwa naunga kisichoisha muda haltel mb 200 tu nakaa hata miezi 2 bila kuisha...?nimefurai sana kuuona uzi huu mimi mwenye natumia simu aina ya tecno 528 hi simu ina browser ya operamin inawezesha kufungua jamiiforums,wikipedia google ni inayokaa nachaji sana alafu kubwa zaid ukiweka mb hata 100 zinaweza kukaa hata mwezi na zikabak. kwasababu haina uwezo wa kucheza video online ila ina unaweza kudownload nyimbo kupitia mdundo,yngamedia na kadhalika ni simu nzuri kwakweli ina saut nzuri
kujua tu na wewe lengo la comment..?Lengo la Uzi?
Yaani unamaanisha tukujue wewe??kujua tu na wewe lengo la comment..?
Duuh kwaiyo nyie WhatsApp hampogo mimi bila smartphone naumwa kwanza sijawahi kaa mbali na simu yangu labda nikienda chooni tuMimi huwa naunga kisichoisha muda haltel mb 200 tu nakaa hata miezi 2 bila kuisha...?
Itoshe kusema ww unakula bangi sio unavuta..?Kitu pekee tunachojua kuhusu wewe ni mirembe
Long time..?Duuh kwaiyo nyie WhatsApp hampogo mimi bila smartphone naumwa kwanza sijawahi kaa mbali na simu yangu labda nikienda chooni tu
Wewe na mtoa mada ni Mapacha! Namaanisha Kulwa Biteko na Dotto Biteko?nimefurai sana kuuona uzi huu mimi mwenye natumia simu aina ya tecno 528 hi simu ina browser ya operamin inawezesha kufungua jamiiforums,wikipedia google ni inayokaa nachaji sana alafu kubwa zaid ukiweka mb hata 100 zinaweza kukaa hata mwezi na zikabak. kwasababu haina uwezo wa kucheza video online ila ina unaweza kudownload nyimbo kupitia mdundo,yngamedia na kadhalika ni simu nzuri kwakweli ina saut nzuri
Hizi search engine zinapatikana ktk hiyo browser...Natumia browser operamini na kwenye search engine natumia google...?
Chuga inaitwa Tecno massainimefurai sana kuuona uzi huu mimi mwenye natumia simu aina ya tecno 528 hi simu ina browser ya operamin inawezesha kufungua jamiiforums,wikipedia google ni inayokaa nachaji sana alafu kubwa zaid ukiweka mb hata 100 zinaweza kukaa hata mwezi na zikabak. kwasababu haina uwezo wa kucheza video online ila ina unaweza kudownload nyimbo kupitia mdundo,yngamedia na kadhalika ni simu nzuri kwakweli ina saut nzuri
kasoro startpage private searchHizi search engine zinapatikana ktk hiyo browser...