Corona imekimbilia kichwaniHakika unaweza ukashangaa lakin ndivyo ilivyo, hakuna ukweli ila mawazo yako tu. Duniani upo peke yako lakin mawazo yako yanakuambia dunia ina watu wengi
Hapo ulipo mawazo yanakuambia upo Jamiiforums unasoma thread ya ndugu bwana Fene kumbe si kweli mawazo yako tu
Hakuna njaa wala shibe ni mawazo yako tu
Mawazo yako yanakuambia upo nchi ya amani Tanzania kumbe si kweli ni mawazo yako tu
Mawazo yako yanakuambia mbona naisoma thread isiyoeleweka kumbe si kweli hakuna kitu thread ni mawazo yako tu
Eti sometimes unadai umeumizwa na mapenzi sio kweli ni mawazo yako tu
Duniani upo peke yako
Eti unajidanganya leo usiku kuna uefa sikweli ni mawazo yako tu
Utadai alieandika thread itakuwa ameshaonja kidogo labda hapana hayo yote ni mawazo yako tu
Hii sio thread ni mawazo yako tu.
Hakika umejitengenezea mawazo mengi sana ya ajabu!
Eti kuna kukomenti hapana hayo yote ni mawazo uliojitengenezea
Kuna siku utaujua ukweli
View attachment 1997312
Hakuna wazungu ni mawazo yako tuNa bado tutakoma,hapa bado kabisa ndo tunaanza hivi,subirini tufikie katikati ya safari,tutabaki kusema hivi hivi ni "mawazo yako/yetu haya"huku watu wanalamba vinyesi vya mbuzi na mikojo ya Simba kwa kupoteza mind control huku tukijifariji na illusion za ajabu za wazungu za kuona life is illusion,huku tukiachwa...
Sawa lkn ni wangapi??Ni mawazo yako tu
Wameruhusiwa simu kumbee
Mara ya mwisho kuwatembelea hawakua nazo