Msokoto ni WA ngapi?.Mmoja tu ambae ni wewe
Hakika hakuna Jamiiforums, wala hakuna thread wala hakuna comment, yote ni mawazo yako tuKwahiyo hii jf ni ya kwako na hata mimi ninayecomment hapa ni wewe? Umejiandikia thread ili iweje sasa. Najaribu kuelewa lakini cheche
Ahsante kwa kunielewa...Hakuna wazungu ni mawazo yako tu
Mawazo yako yanakuambia upo nchi ya amani Tanzania kumbe si kweli ni mawazo yako tuHakika unaweza ukashangaa lakin ndivyo ilivyo, hakuna ukweli ila mawazo yako tu. Duniani upo peke yako lakin mawazo yako yanakuambia dunia ina watu wengi
Hapo ulipo mawazo yanakuambia upo Jamiiforums unasoma thread ya ndugu bwana Fene kumbe si kweli mawazo yako tu
Hakuna njaa wala shibe ni mawazo yako tu
Mawazo yako yanakuambia upo nchi ya amani Tanzania kumbe si kweli ni mawazo yako tu
Mawazo yako yanakuambia mbona naisoma thread isiyoeleweka kumbe si kweli hakuna kitu thread ni mawazo yako tu
Eti sometimes unadai umeumizwa na mapenzi sio kweli ni mawazo yako tu
Duniani upo peke yako
Eti unajidanganya leo usiku kuna uefa sikweli ni mawazo yako tu
Utadai alieandika thread itakuwa ameshaonja kidogo labda hapana hayo yote ni mawazo yako tu
Hii sio thread ni mawazo yako tu.
Hakika umejitengenezea mawazo mengi sana ya ajabu!
Eti kuna kukomenti hapana hayo yote ni mawazo uliojitengenezea
Kuna siku utaujua ukweli
View attachment 1997312
Hakika ni mawazo yako tuKila kitu unakiona kutokana na mawazo yako ila sio kwamba hakuna kitu kabisa.
Chakula hicho hicho ukiwa na mood kitamu ukiwa down hakifai.
Wengine hawana kitu wanafuraha wengine wanakaribu kila kitu ila wana msongo wa mawazo.
Ni kweli ni mawzo yako tu