Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF kwa sasa amekuwa maalfu baada yakusikia jina linalosifika na wana CUF kuwa ni "BWANAYULE" Nibaada yakuwa mkorofi na kutaka kung'ang'ania kiti cha uenyekiti.
Sasa wazanzibar wamemuita "BWANAYULE Kwakuwa ni mkorofi.
Duh kweli kudharauliana au kazi ndogo alifanyaMwenzie kapelekwa kanada,ye kaachwa rwanda,dharau hz
BIBI YULE or Maalim SeifBWANA YULE or Propesa Lipumba
Alichanga Karata kalamba dume, ila kadharaulika kuliko alivyodhania, wengine wanawasikiliza wake zao na kukurupuka bila kufikiri out comeDuh kweli kudharauliana au kazi ndogo alifanya


