Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
jamani naomba anayejua haya mambo tusaidiane.
nimesikia watu wakishawishi ulaji wa vitunguu swaumu wakidai ni tiba ya magonjwa mengi na ni kinga pia, sasa mimi nilijaribu kutafuna vipunje viwili kavukavu siku moja, nikaanza kusikia mapigo ya moyo yanaenda kasi na ilidumu kama masaa mawili vi, toka siku iyo sijatafuna tena,. sasa kabla sijatafuna tena naombeni ushauri wenu, hivi vitu ni salama kweli kama wanvyoshauri, au ni watu wenye matatizo ya aina gani wanshauriwa kutumia????????
nitashukuru kwa ushauri wenye msaada kwa wengi..............
nimesikia watu wakishawishi ulaji wa vitunguu swaumu wakidai ni tiba ya magonjwa mengi na ni kinga pia, sasa mimi nilijaribu kutafuna vipunje viwili kavukavu siku moja, nikaanza kusikia mapigo ya moyo yanaenda kasi na ilidumu kama masaa mawili vi, toka siku iyo sijatafuna tena,. sasa kabla sijatafuna tena naombeni ushauri wenu, hivi vitu ni salama kweli kama wanvyoshauri, au ni watu wenye matatizo ya aina gani wanshauriwa kutumia????????
nitashukuru kwa ushauri wenye msaada kwa wengi..............