Katika kutafuta huku na huko, juu ya sifa za kiongozi bora, nikafanikiwa kupata hizi:-
1.Honesty- Uaminifu
2. Responsibility- Uajibikaji
3.Confidence- Kujiamini
4. Enthusiasm- shauku kubwa juu ya kitu mfano maendeleo, mabadiliko ya kweli.
5. Reliability- kutumainiwa/kutegemewa/kuaminika
6. Patience-ustahimilivu.
7. Decisiveness-Uwezo wa maamuzi sahihi.
8.Determination-ushupavu na azma ya kuamua kwa dhamiri.
9. Loyalty- Utiifu wenye maslahi na kukubalika kwa wengi.
10. Courage-Ujasiri wa kuthubutu,ushujaa.
Nimebahatika kupata hizi.wadau ongezeni zingine zaidi.
Je viongozi wetu wa ngazi zote wanazo sifa hizi?
Tuwapime, kabla hatujawapa mamlaka!
1.Honesty- Uaminifu
2. Responsibility- Uajibikaji
3.Confidence- Kujiamini
4. Enthusiasm- shauku kubwa juu ya kitu mfano maendeleo, mabadiliko ya kweli.
5. Reliability- kutumainiwa/kutegemewa/kuaminika
6. Patience-ustahimilivu.
7. Decisiveness-Uwezo wa maamuzi sahihi.
8.Determination-ushupavu na azma ya kuamua kwa dhamiri.
9. Loyalty- Utiifu wenye maslahi na kukubalika kwa wengi.
10. Courage-Ujasiri wa kuthubutu,ushujaa.
Nimebahatika kupata hizi.wadau ongezeni zingine zaidi.
Je viongozi wetu wa ngazi zote wanazo sifa hizi?
Tuwapime, kabla hatujawapa mamlaka!