4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,773
- 10,533
Jiandee kuanzia 23mn,wese inakunywa kama viazi vya Mbeya, pia jiandae kwa changamoto za cvt na kupasuka kwa dashboard huku paa likiooza.Dualis shingapi?? Unywaji wake WA mafuta ukoje??
Jiandee kuanzia 23mn,wese inakunywa kama viazi vya Mbeya, pia jiandae kwa changamoto za cvt na kupasuka kwa dashboard huku paa likiooza.Dualis shingapi?? Unywaji wake WA mafuta ukoje??
Kitu kinachopendwa na wanawake lazima bei yake iwe juuIST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.
Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.
ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.
Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST
Boss, Hakuna sababu ya kubishana kila kitu.Hakuna kitu kama hicho, kitu kipya ni kipya tu hamna ubishi hapo sana sana utanujua kopo lililojazwa maspika maana naona kilichokuvuruga ni maspika Yale wanayoweka
Si kweli hata kidogo.Dualis haitaki mafundi wa chini miti.Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3
Lazima isajiliwe upya ili upate namba ya kiraia na hili la kwangu lilikuwa na rangi ya mabakamabaka nikalazimika kubadil rangiHivi ukinunua gari kama hivi unatakiwa ikaifanyie usajili upya siyo. Maana naona umebadili hadi rangi
Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3
Kuna mtu niliona ametoa radio original ya range sport akafunga android ya 180,000/=. Sijajua ni hatujui vitu vizuri au tuna ushamba.View attachment 2763668
Uwa wanayakosea kwa kuongezea miandroid redio na mispeaker huku mitaa ya ajabu ajabu kwa mafundi wasioeleweka,dualis ina zaidi ya miaka 10 bongo na iko poa
IST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.
Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.
ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.
Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST
Juzi nimekutana Dualis number A sijakaa sawa nikaziona number B mbili nikajisemea waswahili kwa kujifanya wajuaji hakuna wa kuwazidi.Kuna mtu niliona ametoa radio original ya range sport akafunga android ya 180,000/=. Sijajua ni hatujui vitu vizuri au tuna ushamba.
Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3
Esp kwenye mitandao kama hii.Juzi nimekutana Dualis number A sijakaa sawa nikaziona number B mbili nikajisemea waswahili kwa kujifanya wajuaji hakuna wa kuwazidi.
Pimp my ride, jamaa yupo sahihiWabongo kwa ujuaji komesha yani ya kitaa iizidi ya showroom kwa ukali,,upo serious kweli
dualis inapasuka dashboard mkuu?Jiandee kuanzia 23mn,wese inakunywa kama viazi vya Mbeya, pia jiandae kwa changamoto za cvt na kupasuka kwa dashboard huku paa likiooza.
Subaru ImprezaFikiri haya yafuatayo:
1. Mimi nina gari namba D ni ya 2015.
2. Maana yake namba D zina miaka 8.
3. NAMBA E Zimeanza lini?
Kwa mantiki hii, utafiti wako hauna uhalali, maana namba E lazima ziwe chache.
Kama IST hazinunuliwi tena kwa kiwango kikubwa, nini ni Mbadala wake?
Picha?Natumia land Rover 111 namba Ç wajeda waliniuzia lak saba tu likiwa na mashine kinanda mchawi ilikua suspension system tu ambapo wale wajeda niliwapoza 1m wakanifungia mabush,shockup,coil spring na matair vyote hivyo waliniwekea vipyaaaaaaa
Kwa vile lilikuwa na mabakamabaka ya kijeda nikalazimika kubadil rangi na sikuleta ubahili nikatoa lak tat unusu chombo kikatoka kipyaaaaaaaaaa
Chombo ya dizel nikiweka wese la 30k nazurura wiki nzima bila kukata tena mizururo ya kibabe
PichaNatumia land Rover 111 namba Ç wajeda waliniuzia lak saba tu likiwa na mashine kinanda mchawi ilikua suspension system tu ambapo wale wajeda niliwapoza 1m wakanifungia mabush,shockup,coil spring na matair vyote hivyo waliniwekea vipyaaaaaaa
Kwa vile lilikuwa na mabakamabaka ya kijeda nikalazimika kubadil rangi na sikuleta ubahili nikatoa lak tat unusu chombo kikatoka kipyaaaaaaaaaa
Chombo ya dizel nikiweka wese la 30k nazurura wiki nzima bila kukata tena mizururo ya kibabe
HaiuzwPicha?
Hii gari ndo itatawala Sana soko mda si mrefuToyota aqua loading…