Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

IST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.

Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.

ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.

Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST
Kitu kinachopendwa na wanawake lazima bei yake iwe juu

Kibaya zaidi anayeingia shoroom na kuilipia ni mwanaume
 
Hakuna kitu kama hicho, kitu kipya ni kipya tu hamna ubishi hapo sana sana utanujua kopo lililojazwa maspika maana naona kilichokuvuruga ni maspika Yale wanayoweka
Boss, Hakuna sababu ya kubishana kila kitu.
Show room si magari mapya, pia kuna watu ni watunzaji sana na magari yao ni salama kuliko show room. Wahindi wamesifiwa sana katika hili. Unakuta alinunua 0km na anakaa mjini katumia miaka 10 ila gari ni nzuri kuliko mengi tu yaliyopo yard.

Inawezekana kabisa kununua gari used nzuri na zima kuliko aliyeagiza na imeshatokea si mara moja. Kuna watu wameagiza gari japan linafika tu na kumuona fundi na kuna watu wamenunua gari used na wametumia muda bila tatizo.
 
Ukinunua Hakikisha una Fire extngiusher 3


Gari la kisasa imekuja na teknolojia ya kisasa unampa fundi juma anakata kata waya anaunga na tape unafunga android ya kichina ya laki. Why? Tuna ushamba mwingi sana bado na sijajua kama wachina wanafunga radio quality hizi kwenye magari yao.

Tunahitaji kubadilika. Dunia haiwezi kututengenezea ngarangara ngumu kama rav4 massawe na suzuki mchaga milele. Zinakuja gari ni full electric hata sauti hazina, na hizi android zetu tutapigwa shoti mpaka tufurahi
images (71).jpeg
 
Yes.
IST namba E hazipo kabisa au zipo kwa uchache.
Kuna watu humu wanasema watu wananunua IST humuhumu ndani (nchini) hoja zao za kitoto. Ukinunua gari hapa nchini ambayo alitumia mbongo mwenzako hapo sawa na kusema kuwa haijanunuliwa.
Hivyo shortly tuseme tu Watanzania wameacha kununua IST na si kusema wananunua used za ndani
 
IST bei imepanda sokoni lakini sababu kubwa ni kwamba hamna mnunuaji wa IST anaingia showroom saivi.

Wengi wanazinunua mtaani ambako IST zimenyooka, uzuri watumiaji IST wa namba D wengi huyatunza magari yao ni nadra sana kuikuta IST haifai imechoka hii inapelekea wanaotaka yamiliki IST wayapate kwa bei rahisi mtaani.

ukiwa na 10m-13m unapata IST imenyoooka kwa uzuri wa macho hata ya showroom haikuti.

Wakat showroom bila 17m kwenda mbele hulambi IST

Duh IST 17M? Showroom? Unasemea hizi model za 2nd Generation au? Kama unasemwa zile za toleo la kwanza now zimeshuka bei 13.5 mpka 15.5 hapo umepigwa saanaa
 
Natumia land Rover 111 namba Ç wajeda waliniuzia lak saba tu likiwa na mashine kinanda mchawi ilikua suspension system tu ambapo wale wajeda niliwapoza 1m wakanifungia mabush,shockup,coil spring na matair vyote hivyo waliniwekea vipyaaaaaaa


Kwa vile lilikuwa na mabakamabaka ya kijeda nikalazimika kubadil rangi na sikuleta ubahili nikatoa lak tat unusu chombo kikatoka kipyaaaaaaaaaa


Chombo ya dizel nikiweka wese la 30k nazurura wiki nzima bila kukata tena mizururo ya kibabe
Picha?
 
Natumia land Rover 111 namba Ç wajeda waliniuzia lak saba tu likiwa na mashine kinanda mchawi ilikua suspension system tu ambapo wale wajeda niliwapoza 1m wakanifungia mabush,shockup,coil spring na matair vyote hivyo waliniwekea vipyaaaaaaa


Kwa vile lilikuwa na mabakamabaka ya kijeda nikalazimika kubadil rangi na sikuleta ubahili nikatoa lak tat unusu chombo kikatoka kipyaaaaaaaaaa


Chombo ya dizel nikiweka wese la 30k nazurura wiki nzima bila kukata tena mizururo ya kibabe
Picha
 
Back
Top Bottom