Adu gida
Member
- May 7, 2011
- 18
- 1
Ukwaju ni mchungu na wengi wetu tunaona ni bora ubuyu kuliko ukwaju.
Mi sitaki nikukimbize manake mwisho wake nitachokam we anguka jifanye kama umepata ajali uniache mi nikukamate na mwisho wa siku uonekane shujaa. Haya ndiyo maneno ya siasa mtahani na ndiyo salamu za vyama vingi mpaka chama tawala mfano mdogo kidumu chama tawala maana ya kauli hii mnaijua kama we ni mgeni wa siasa basi hauwezi juwa maana yake na sijui hata kama wahasi wa chama cha CCM wanajua maana ya maneno haya.
Ila fumbo mfumbie mjinga, mjanja unapotesa muda hizo ni salamu za chama na utamua wa ngoma usimshike ng'ombe mkia mguse kichwani na ajali si ajali mpaka gari lipinduke na kidumu chama cha mapunduzi manake hakuna sababu kiwepo kama Mwl nyerere hakuona umuhimu wake kwa utashi wake alijuwa mabadiliko yenye maana yatakuja kupitia ccm na kuona kidonda si kwamba kovu halita kuwepo
Mi sitaki nikukimbize manake mwisho wake nitachokam we anguka jifanye kama umepata ajali uniache mi nikukamate na mwisho wa siku uonekane shujaa. Haya ndiyo maneno ya siasa mtahani na ndiyo salamu za vyama vingi mpaka chama tawala mfano mdogo kidumu chama tawala maana ya kauli hii mnaijua kama we ni mgeni wa siasa basi hauwezi juwa maana yake na sijui hata kama wahasi wa chama cha CCM wanajua maana ya maneno haya.
Ila fumbo mfumbie mjinga, mjanja unapotesa muda hizo ni salamu za chama na utamua wa ngoma usimshike ng'ombe mkia mguse kichwani na ajali si ajali mpaka gari lipinduke na kidumu chama cha mapunduzi manake hakuna sababu kiwepo kama Mwl nyerere hakuona umuhimu wake kwa utashi wake alijuwa mabadiliko yenye maana yatakuja kupitia ccm na kuona kidonda si kwamba kovu halita kuwepo