Namsubiria mamlaka za uteuzi, nikipata hata u DC unanitosha, najua uwezo ninao tena mzuri tu.Habari wanajukwaa
Leo nipo nimepoa hapa katika sofa baada ya kunywa chai ya shemeji yangu nikasema nisiende kubeti kwanza hebu nijaribu kutafakari ya maana,
Ndo yakanijia haya maswali, nikasema hebu nishee na Magreat thinkers wa kule Jf maana kule hata matajiri pia wapo
Utajiri je hutafutwa? Mbona haso ni nying sana kwa vijana lakini majibu ni zero!!
Je utajiri ni bahati? Hivyo tusijisumbue kuutafuta utaja tu wenyewe
Je utajiri una njia zake? Ni zipi hizo maana Kuna watu wanahisi wamemaliza njia zote lakin still score board 0-0
Je utajiri ni mchezo mchafu? Mbona Kuna watu tunawaona wapo safi kabisa na huenda tuendapo wakaenda tena kula keki (najua sio wote)
Kila mtu anapenda awe tajiri, haso zetu from morning hadi tunaenda kulala watu wanazisaka
Haya matajiri wa Jf mutuelezee hapa nikirudi kwa muhindi nitaja ku take notes
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app