Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

Ayo yote ulio weka watu hawayatambui kama kipaumbele zaidi tunaangalia hardware tu na vichache vya software mft watu tunaangalia camera,spika,betri na kioo ayo yaliowekwa ndan yanawausu washua
Nimeona mara kadhaa humu JF watu wengi wanasema wananunua iPhone kwa sababu ya security, wananunua Samsung kwa sababu ya features wengine wanasema wanapenda Google Pixel kwa sababu ipo simple and clean
Ndio maana nikaja kuandika huu uzi
 
Zamani niliwahi tumia oppo, niliipenda colorOS
hivi huawei user interface yao si ni harmony OS ama, nilitumia nayo inapendeza, inaleta utofauti, sijui ni kwasababu nimezoea one UI, ndio maana kwenye huawei nikaona bomba
 
Lengo lako lilikuwakuwaoutsmart watu?Thread au taarifa nzuri ni ile iliyokusudiwa kuelimisha na kufikisha ujumbe uliokusudia,nilitegemea ungeanza na maana ya UI kabla ya kuendelea na vingine
Ila JF jamani 🙌
Halikuwa lengo langu ku outsmart watu. Nilizoea kuanzisha thread za tech kipindi cha nyuma watu walikuwa wanachambua mada vizuri tu
Nimeelezea maana ya UI tayari, nime edit thread
 
Most common OS zinazotumika na watu wengi kwenye simu ni iOS na Android
Kwenye iOS kwa sababu hakuna mpinzani zote zina UI moja tu ila kwa Android zipo UI nyingi, kwa hiyo hapa kiujumla, naongelea kuanzia

iOS

hadi
  • One UI (Samsung)
  • HyperOS (Xiaomi)
  • ColorOS (Oppo)
  • OxygenOS (One Plus)
  • Pixel UI (Google Pixel)
  • Android ya kwenye Sony Xperia (no specific name)
  • OriginOS (Vivo China)
  • FuntouchOS (Vivo Global)
  • NothingOS (Nothing Phone)
  • Hello UI (Motorola)
  • MagicOS (Honor)

Je ukiwa unanunua simu kwenye UI unazingatia nini zaidi?
  • Security & Privacy
  • Customization and Features
  • AI implementation
  • Simple and clean
  • Animations
  • Control centre style
  • "Material You" implementation
  • Ad free experience
  • Haujali chochote
  • Other things

Binafsi napenda zaidi customization and features, plus nice animations
So hapo unakaa upande upi ndugu yangu, mie hyper os kisha color os
 
So hapo unakaa upande upi ndugu yangu, mie hyper os kisha color os
HyperOS na One UI nazipenda equally maana ndio kings wa customization
Kama HyperOS ukiangalia comparisons hawana mpinzani kwenye Lock Screen Customization, Fingerprint animation style.
One UI ukiongezea Good Lock inakuwa something else kwenye customization
Not to mention both zina significant amount of themes & fonts
Wanajitahidi sana Xiaomi na Samsung kwenye customization
 
Kun mshikaji wangu mmoja yeye ni mtundu mtundu sana wa hizi simu. Siku moja ananiambia sijui, android version gan, UI, sijui root, sijui vitu gani. Nikamwambia braza mimi natumia simu kama ordinary user sio expert kama yeye, alicheka sana.
ni kweli mkuu huna sababu ya kujichosha, computer tunaangalia capacity yake speed, ram nk hata simu?mimi huwa nazingatia storage tu iwe kubwa tu
 
HyperOS na One UI nazipenda equally maana ndio kings wa customization
Kama HyperOS ukiangalia comparisons hawana mpinzani kwenye Lock Screen Customization, Fingerprint animation style.
One UI ukiongezea Good Lock inakuwa something else kwenye customization
Not to mention both zina significant amount of themes & fonts
Wanajitahidi sana Xiaomi na Samsung kwenye customization
Umenena tena hyper os 3imekuja na mazuri mengi sana, kuna habari mbaya kuhusu oppo kujitoa kwenye soko la kimataifa atabaki tu China hivo watumizi wa oxygen os wanakwenda kupotea soo
 
Huwa naona kwenye UI comparison huwa wanachukua zile best vs best yani za kwenye flagships ndio wana compare

Also I think One UI iko vizuri kwenye everything except kwa wanaotaka "Simple and clean software"
Ila apart from that huwa naona iko perfect sehemu nyingi (Features, customization, AI, animations, design and aesthetics, etc)
Sahihi, OnePlus ilikua inatoa clean option kwa watu wengi Ila sasa hivi Oppo anawaingilia Sana na kuna tetesi soon itafungwa, maybe Motorola still inatoa hio clean experience. Google Wana clean software ila hardware zao ni so and so.
 
Yaani mm wabongo wakiiteteaga iphone kwenye maswala ya usalama hua nacheka sana unaweza jiuliza umo kwenye ma iphone wameweka nyaraka gan za kiofis ambazo zikidukuliwa atapata hasara kwenye biashara zake,ofis au kwenye kampuni kumbe akuna lolote zaid wanaficha pcha zao za uchi,sms za michepuko pia ata wengine nawashanga wanajisifu simu zao zina gb512 wengine 1T sasa muuliz anaifazi kitugan akiachana na miziki,vichekesho na movies na pcha hana chakukujibu ila atasifu tambo lina uwezo na atakwambia lipo chap maana RAM 12GB muulize vitugan vya haraka anavyofanyaga nje na game akupi majibu
 
Sahihi, OnePlus ilikua inatoa clean option kwa watu wengi Ila sasa hivi Oppo anawaingilia Sana na kuna tetesi soon itafungwa, maybe Motorola still inatoa hio clean experience. Google Wana clean software ila hardware zao ni so and so.
Malizia kwa lugha nyepesi kwamba hardware ikoje mkali
 
Malizia kwa lugha nyepesi kwamba hardware ikoje mkali
Pixel hardware yao haina Nguvu sana, mtumiaji wa kawaida hawezi ona utofauti ila kwa power user hataweza kurun mambo mengi.

Pia mambo mengine kama chaji, modem etc ipo nyuma.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
muulize vitugan vya haraka anavyofanyaga nje na game akupi majibu
Kwani games unazichukuliaje mkuu. Gaming ni sekta ambayo hata flagship zenyewe sometimes huwa zinachachamaa. Hapa unakuta una powerful chipset, strong GPU ila simu inachemka balaa. Gaming ni heavy task
Hii pekee ni sababu tosha ya mtu kununua simu powerful, labda kama unachezaga tu eFootball
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Zamani niliwahi tumia oppo, niliipenda colorOS
hivi huawei user interface yao si ni harmony OS ama, nilitumia nayo inapendeza, inaleta utofauti, sijui ni kwasababu nimezoea one UI, ndio maana kwenye huawei nikaona bomba
Huawei Harmony OS haina miaka mingi tangu inazishwe
Before wakati wapo famous waliiuwa wanatumia Android na UI yao ilikuwa ni EMUI. Ilikuwa ni nzuri sana
Hadi leo Harmony OS ipp vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom