Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,166
- 3,827
Sasa mkuu kuhusu mizigo kwani tunalazimishwa kutoa?maana hata kwenye maandiko hawajasema kutoa sadaka ni lazima lakini wamesema kutoa sadaka ni moyo,ukiwa na moyo wakutoa utatoa hautoangalia hayo mapito unayoyapitia,kutoa ni moja ya Ibada mkuuhilo halina shida ila mchungaji wanafahamu wanayopitia waumin mpk wanaleta mizigo madhabahuni?