Wadau,
Kuna ndugu yangu yuko europe.. anauliza kama inawezekana akafungua account bongo na hyo account akawa anaitumia.. yaan matumizi ya kutoa na kuweka
1. Kama anatumiwa pesa kutoka Tanzania
2. Kama amatuma pesa kutoka Europe
3 Kutumia card ya bank kutoa pesa na kuweka akiwa europe .
Kama kuna anaefaham hili anipe muongozo.
Kuna ndugu yangu yuko europe.. anauliza kama inawezekana akafungua account bongo na hyo account akawa anaitumia.. yaan matumizi ya kutoa na kuweka
1. Kama anatumiwa pesa kutoka Tanzania
2. Kama amatuma pesa kutoka Europe
3 Kutumia card ya bank kutoa pesa na kuweka akiwa europe .
Kama kuna anaefaham hili anipe muongozo.