HAFIDH FADHIL
Member
- Jan 20, 2020
- 9
- 5
Mimi ilikuwa nauliza itokee mtu amemaliza Form Four au Form Six, baadaye akataka kujiunga na JKT, je kule anaweza kusomea mafunzo flani kwa mfano kama udaktari au uhasibu au inakuwa watu wote wanajifunza sawa miaka yote mitatu sasa hivi?