Wote tu! Iwe single au pair, mchango wako ni muhimu.
nikiwa nimelala nitajuaje mikono yangu ilipo?
Naiweka kwa Maria wangu kuna joto la ajabu!!!!
Inategemea.
Ma-Single wana style zao na walio Pair wana style zao pia.
Wewe umelenga kundi gani?
Naiweka kwa Maria wangu kuna joto la ajabu!!!!
Tembelea shule za boyz boarding ndio michezo yao.Asilimia kubwa ya wanaume wakilala mchana utakuta mkono upo ndani ya bukta kashikilia urijali wake.
Ndani au nje?
Hujambo weye?? Lomg time no see