Senator jr
JF-Expert Member
- Apr 3, 2016
- 367
- 495
Habari Wadau wa Tech!
Kusema ukweli Kampuni ya simu na BAADHI ya vifaa vya kielectronics ya HUAWEI iko kwenye wakati MGUMU sana.
Nanukuu moja ya Technician wa HUAWEI baada ya kuulizwa mna malengo gani baada ya kupigwa Ban alisema
company told us: “Huawei has made substantial contributions to the development and growth of Android around the world.
As one of Android’s key global partners, we have worked closely with their open-source platform to develop an ecosystem that has benefited both users and the industry.
Hii ina maana gani hata android os ya Google jina na umaarufu wake umekuzwa kwa kiwango fulani na hii kampuni.
Ushauri wangu kwa HUAWEI
WAKISEMA WANATOA OS YAO AMBAYO WAMEIFANYIA KAZI KWA MIAKA SABA NDIO WAMEJIONDOA KWENYE SOKO KABISA.
Kwanini..
MICROSOFT ALINUNUA KAMPUNI YA NOKIA NA KUTENGENEZA OS YA LUMIA AKAFELI KWENYE SOKO.
ZTE VILEVILE
SECOND CHANCE BADO WANAYO YA KUONGEA NA TRUMP ILI KUFIX HII ISSUE YA SECURITY THREAT TO US ARMY.
WAKI CONFIRM KUWA DEVICE ZAO NI SALAMA NA KAMA KUNA MISTAKES WAREKEBISHE.
NAAMINI WATAFANIKIWA NA KUNUFAIKA ZAIDI..
Kusema ukweli Kampuni ya simu na BAADHI ya vifaa vya kielectronics ya HUAWEI iko kwenye wakati MGUMU sana.
Nanukuu moja ya Technician wa HUAWEI baada ya kuulizwa mna malengo gani baada ya kupigwa Ban alisema
company told us: “Huawei has made substantial contributions to the development and growth of Android around the world.
As one of Android’s key global partners, we have worked closely with their open-source platform to develop an ecosystem that has benefited both users and the industry.
Hii ina maana gani hata android os ya Google jina na umaarufu wake umekuzwa kwa kiwango fulani na hii kampuni.
Ushauri wangu kwa HUAWEI
WAKISEMA WANATOA OS YAO AMBAYO WAMEIFANYIA KAZI KWA MIAKA SABA NDIO WAMEJIONDOA KWENYE SOKO KABISA.
Kwanini..
MICROSOFT ALINUNUA KAMPUNI YA NOKIA NA KUTENGENEZA OS YA LUMIA AKAFELI KWENYE SOKO.
ZTE VILEVILE
SECOND CHANCE BADO WANAYO YA KUONGEA NA TRUMP ILI KUFIX HII ISSUE YA SECURITY THREAT TO US ARMY.
WAKI CONFIRM KUWA DEVICE ZAO NI SALAMA NA KAMA KUNA MISTAKES WAREKEBISHE.
NAAMINI WATAFANIKIWA NA KUNUFAIKA ZAIDI..