Je unauza gari????

ManCity

Member
May 19, 2011
40
14
Wana JF

Napenda kuwataarifu nimefanikiwa kufungua SHOWROOM ya kuuza magari pale maeneo ya Magomeni, ipo barabarani kabisa...

Kwa yeyote anayeuza gari anaeza kuni-PM tukakubaliana terms za kupark kwenye showroom....Gari zinatakiwa kuwa katika hali nzuri ili kutengeneza reputation ya showroom, napokea pia new imported vehicles on sale..

Serious dealers are welcome..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom