K kijanaa New Member Apr 9, 2010 3 0 Apr 9, 2010 #1 kanisa la ubungo limeamia tanganyika packers nanimesikia kutoka kwa mshirika wao mwamifu kuwa wana paita bonde la kukata maneno
kanisa la ubungo limeamia tanganyika packers nanimesikia kutoka kwa mshirika wao mwamifu kuwa wana paita bonde la kukata maneno
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Apr 9, 2010 #3 Preta said: kanisa lipi sasa? Click to expand... Mmm! kweli mambo mapya, naona Preta umekuja na Avatar mpya!!
Preta said: kanisa lipi sasa? Click to expand... Mmm! kweli mambo mapya, naona Preta umekuja na Avatar mpya!!
Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Apr 9, 2010 #4 Ndibalema said: Mmm! kweli mambo mapya, naona Preta umekuja na Avatar mpya!! Click to expand... mambo ya Yaeda....hujambo lakini?
Ndibalema said: Mmm! kweli mambo mapya, naona Preta umekuja na Avatar mpya!! Click to expand... mambo ya Yaeda....hujambo lakini?
Bon Senior Member Feb 22, 2010 107 19 Apr 9, 2010 #8 Some months ago Nilisikia kuwa aliambiwa na serikali ahame pale, ubungo, labda ndo amehama.
JoJiPoJi JF-Expert Member Aug 8, 2009 2,907 3,261 Apr 9, 2010 #9 inawezekana!, siwaoni pale ubungo tangu JF iende leave