Je,unataka gari ya bei ya Rahisi?,pitia hapa!

Je,unataka gari ya bei ya Rahisi?,pitia hapa!

Isis van..or
Labda kama haijapakiwa kwenye meri ya kigiriki[emoji3][emoji3][emoji3]

Fake thread fake..
 
Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.
.

Weka wazi na picha na price zake pia tuone, hata mimi nahitaji.
 
Nadhani unataka KUWAKAANGA WATU TUU ungekuwa mkweli ungeweka bei kabisa sasa mpaka akubox utata mtupu huo.
Kuwa makini mkaka usije ukarudi unalia
 
Nadhani unataka KUWAKAANGA WATU TUU ungekuwa mkweli ungeweka bei kabisa sasa mpaka akubox utata mtupu huo.
Kuwa makini mkaka usije ukarudi unalia
maelezo yako yako nusu nusu yaelekea umekurupuka biashara ya magari inahitaji watu makini
 
Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.

L.Crser Hard top nitapata mkuu?
 
Unaweza ukawa sio tapeli, lakini the way post yako ilivyo inatia shaka. Hebu kokotoa kila kitu hapa kiwe bayana achana na pm.
 
Wakati wa yangu macho umefikia sasa ingiza mzigo uwone itakavyoshika kichwa.
 
Gari inayouzwa dola 500 Japan, ambayo ni sawa na Mil moja ya hapa hadi isafilishwe hadi hapa itakuwa ni kama dola 2000 na ushee, hiyo ndo CIF hizo ni kama 4.5mil sasa songombingo za TRA na the same amount 4.5mi kwahiyo the cheapest car ever ya kuagiza ambayo ipo fit ni kati ya sh 8mil had 9 .kwahiyo Gari ya Mil moja hakunaga. Hata ukipewa Gari bure Japan bado 6 to 7 Mil itakutoka
Naona mnasadiana hapa "WAJINGA NDIO WALIWAO" @Faizafox
 
Back
Top Bottom