Nataka toyota IST ya mwaka 2008. How much will it cost mpaka nimeishika mkononi?Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.
Mkuu nicheki inbox tupeane Maelekezo kwa ukaribu zaidi,ili ujue itakugharimu sh.ngapi?
exactlyVitu vinavyoambatana na usiri, vinagubikwa na utapeli sana.
Hizi zako ni dalili za utapeli
Habari,wakuu kama kuna mtu anataka gari nzuri,kwa bei nafuu!ani pm gari zipo kuanzia milioni moja na kuendelea tunakuagizia kutoka Japan baada ya mda mfupi tu utapata gari yako!.
Hahahahaha,Mkuu nahitaji Gari hizi;
Toyota Runx ,Passo na Funcargo
Haraka iwezekanavyo Mkuu...Mimi Siogopi kuzulumiwa Hata Hela naweza kukutumia Ukinipa Account yako..Hela yote.Siitaji Kukujua Mkuu...
Au Nikutumie??Au Unaogopa Pesa Za Motto??
Mi nataka nikutumie Usipoleta gari Utajua mwenyewe Ila mi nakuwa nimeshakutumia Hela...
Mkuu kama bado unataka gari tuwasiliane inbox,hapa hakuna utapeli kwa sababu unafanya biashara na kampuni sio mtu binafsi na taratibu zote za kisheria zinafuatwa!Mkuu nahitaji Gari hizi;
Toyota Runx ,Passo na Funcargo
Haraka iwezekanavyo Mkuu...Mimi Siogopi kuzulumiwa Hata Hela naweza kukutumia Ukinipa Account yako..Hela yote.Siitaji Kukujua Mkuu...
Au Nikutumie??Au Unaogopa Pesa Za Motto??
Mi nataka nikutumie Usipoleta gari Utajua mwenyewe Ila mi nakuwa nimeshakutumia Hela...
Upo sahihi mkuu,lakini mmi sikumanisha million moja ndio nimejumlisha na kila kitu hiyo ni bei ya gari tu huko Japan bado malipo mengine ya ziada!Gari inayouzwa dola 500 Japan, ambayo ni sawa na Mil moja ya hapa hadi isafilishwe hadi hapa itakuwa ni kama dola 2000 na ushee, hiyo ndo CIF hizo ni kama 4.5mil sasa songombingo za TRA na the same amount 4.5mi kwahiyo the cheapest car ever ya kuagiza ambayo ipo fit ni kati ya sh 8mil had 9 .kwahiyo Gari ya Mil moja hakunaga. Hata ukipewa Gari bure Japan bado 6 to 7 Mil itakutoka