jembepori
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 618
- 194
Wadau nimekuwa nikitafakari kuhusu uchaguzi mkuu na mbwembwe za watangaza nia ni kama vile watanzania tumeshalipuuza suala la "uadilifu" jambo ambalo ninahakika kuwa hata tukilipuuzia vipi mudua utatuhukumu, ni suala la wakatil tuu na tutakuja kujuta.
Kuna huyu mzee Lembeli mimi nimekuwa namuona hasa kwenye mambo ya bungeni na kwa kweli kwa hali ya nchi yetu ninavyoina ana beba "Leadership Material", yaani ana hazina ya uongozi kwa nchi.
Jambo ambalo silielewi ni kwamba yaani kwake yeye hata haonikani hata kuwazia uraisi wa Tanzania,so nani anamjua vizuri huyu mzee, atulete sifa zake ki uongozi kwani nchi yetu hapa ilipofika inahita viongozi siyo watawala.
karibuni wadau.
Kuna huyu mzee Lembeli mimi nimekuwa namuona hasa kwenye mambo ya bungeni na kwa kweli kwa hali ya nchi yetu ninavyoina ana beba "Leadership Material", yaani ana hazina ya uongozi kwa nchi.
Jambo ambalo silielewi ni kwamba yaani kwake yeye hata haonikani hata kuwazia uraisi wa Tanzania,so nani anamjua vizuri huyu mzee, atulete sifa zake ki uongozi kwani nchi yetu hapa ilipofika inahita viongozi siyo watawala.
karibuni wadau.