Okwaaa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,316
- 2,917
821 KJ
Mtalaamu wa kubasti chai na wali jioni bila kusahau ukoko(kubasti yani kuchukua chakula zaidi ya mara moja kwa wizi)😆😆😆
Siku afande Khamis (mpiga bigura) aliponikamata nabasti wali, aisee nilijuta🤣🤣 nilimiliki msoto mkubwa sanaa, wenzangu ck hiyo walikula utawala mm nilikuwa ni action na mapigo ya filimbi😆,
Nilikuwa Combania D, denja koi😁
Uck muda wa chenja akaniita eti nitongoze mti hadi ukubali, kama masihara hivi ila mkali nikaanza kushusha swaga kwa mti huku nikuupapasa papasa aisee, mademu wanacheka mm sina habari 😆😆😆
Afande Khamis fresh tu huko uliko, alafu afande alikuwa mkorofi sana kwa maafande wenzake, haziwezi pita wiki mbili hajabebeshwa magodoro, mablanketi, mashuka, majembe, fagio, ndoo ya maji na ma-MP wanamfunza adabu😄😄😄,
Ukweli jeshi namisi sanaaaaaa.
Ambaaa siyamba eeee,
ambaaa siyamba ee,
Mimi hapa eee, naitwa okwaaa eee,
Hahahaaaa jkt kuna raha yake aiseee.
Mtalaamu wa kubasti chai na wali jioni bila kusahau ukoko(kubasti yani kuchukua chakula zaidi ya mara moja kwa wizi)😆😆😆
Siku afande Khamis (mpiga bigura) aliponikamata nabasti wali, aisee nilijuta🤣🤣 nilimiliki msoto mkubwa sanaa, wenzangu ck hiyo walikula utawala mm nilikuwa ni action na mapigo ya filimbi😆,
Nilikuwa Combania D, denja koi😁
Uck muda wa chenja akaniita eti nitongoze mti hadi ukubali, kama masihara hivi ila mkali nikaanza kushusha swaga kwa mti huku nikuupapasa papasa aisee, mademu wanacheka mm sina habari 😆😆😆
Afande Khamis fresh tu huko uliko, alafu afande alikuwa mkorofi sana kwa maafande wenzake, haziwezi pita wiki mbili hajabebeshwa magodoro, mablanketi, mashuka, majembe, fagio, ndoo ya maji na ma-MP wanamfunza adabu😄😄😄,
Ukweli jeshi namisi sanaaaaaa.
Ambaaa siyamba eeee,
ambaaa siyamba ee,
Mimi hapa eee, naitwa okwaaa eee,
Hahahaaaa jkt kuna raha yake aiseee.