Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Sample an questionnaire ulizotumia pls...
Afu we jamaa jina lako huwa unanimix sana huwa nakosea kosea kuhisi uzi nimechangia mm
Sample an questionnaire ulizotumia pls...
acha kukurupuka mremboMenopause
Menopause
Menopause
acha kukurupuka mrembo
sasa kama yeye kaingia menopause unategemea akwambie nini mkuu?
Hakuna msichana au mvulana mwenye miaka 35.
Kumbe kna msichana na mvulana mwenye miaka mingapi...!!??
Hv unajua kigezo cha kuitwa mwanamke au mwanaume..!? Au ni unapost tuu ili nawe tukufahamu!?
Ewaaa... Yaan 25 kuja juu ila asiwe 35 kuja juu. Akiwa 35+jua chances za kuzaa bila complication ni ndogo na anaelekea menopouse hvo mtabd mzae watoto wanapishana miezi au mwaka. Akiwa 25 anakuwa kapevuka na walau tayar kuwa mama na anajitahd kutulia mana anajua akicheza vibaya atazeekea kwao na atakopwa sana au hata kuliwa free papuchi kama wakati yupo 24-
*ni mtizamo wangu tuu
Hapo kwenye mtazamo ndio panaondoa maana nzima ya mada...mimi nilijua ni utafiti uliohusisha hawa wanaoOna kupendwa ni Haki Yao ya msingi hapa duniani
Afu we jamaa jina lako huwa unanimix sana huwa nakosea kosea kuhisi uzi nimechangia mm