Je, unajua watu wanaokunywa sana pombe wako kwenye hatari ya kupata Nimonia?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
625
938
1610979289096.png

Nini Chanzo Cha Pneumonia

Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi:

Bacterial Pneumonia

Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu ugonjwa wa obstructive pulmonary disease (COPD) au wale wanaotumia pombe kwa wingi hupata pneumonia kutokana na bacteria waitwao Klebsiella pneumoniae na Hemophilus influenzae. Baadhi ya wagonjwa wengine hupata ugonjwa huu kutokana na bacteria aitwaye Mycoplasma pneumoniae.

Maji yasiyo salama yakinywewa au kutumika ndani ya viyoyozi husababisha pneumonia kutokana na bacteria aitwaye bacterium Legionella pneumoniae.

ZIFUATAZO NI AINA ZA NIMONIA

1610979763455.png

Kuna aina ya pneumonia, pneumocystis carinii pneumonia, ambayo hushambulia mapafu yote mawili inayotokana na mwili kuwa na upungufu wa kinga unaotokana na magonjwa ya kansa au UKIMWI au kutibiwa rheumatoid arthritis na baadhi ya dawa.

Viral Pneumonia
Hii ni pneumonia inayotokana na virusi na ambayo haisikii tiba za antibiotics. Baadhi ya virusi wa aini hii ni Adenoviruses, rhinovirus, influenza virus (flu), respiratory syncytial virus (RSV), na parainfluenza virus.

Fungal Pneumonia
Aina hii ya pneumonia husababishwa na fangasi wa aina za histoplasmosis, coccidiomycosis, blastomycosis, aspergillosis, na cryptococcosis.

Nosocomial Pneumonia
Viumbe wadogo walioishi kwenye mazingira ya antibiotics kwa muda mrefu hujijengea uwezo wa kuhimili dawa hizo na pindi wakiingia katika mapafu husababisha nosocomial pneumonia. Bacteria wa aina hii hupatikana kwenye majumba ya kuuguzia wagonjwa na katika hospitali
 
Unaacha kunywa pombe kwa kuogopa NYUMONIA.

Afu
kila siku unapanda boda boda kwenye jiji la dalisalama.

Akili za Abunwasi izi.
 

Nini Chanzo Cha Pneumonia

Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi:

Bacterial Pneumonia

Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu ugonjwa wa obstructive pulmonary disease (COPD) au wale wanaotumia pombe kwa wingi hupata pneumonia kutokana na bacteria waitwao Klebsiella pneumoniae na Hemophilus influenzae. Baadhi ya wagonjwa wengine hupata ugonjwa huu kutokana na bacteria aitwaye Mycoplasma pneumoniae.

Maji yasiyo salama yakinywewa au kutumika ndani ya viyoyozi husababisha pneumonia kutokana na bacteria aitwaye bacterium Legionella pneumoniae.

ZIFUATAZO NI AINA ZA NIMONIA


Kuna aina ya pneumonia, pneumocystis carinii pneumonia, ambayo hushambulia mapafu yote mawili inayotokana na mwili kuwa na upungufu wa kinga unaotokana na magonjwa ya kansa au UKIMWI au kutibiwa rheumatoid arthritis na baadhi ya dawa.

Viral Pneumonia
Hii ni pneumonia inayotokana na virusi na ambayo haisikii tiba za antibiotics. Baadhi ya virusi wa aini hii ni Adenoviruses, rhinovirus, influenza virus (flu), respiratory syncytial virus (RSV), na parainfluenza virus.

Fungal Pneumonia
Aina hii ya pneumonia husababishwa na fangasi wa aina za histoplasmosis, coccidiomycosis, blastomycosis, aspergillosis, na cryptococcosis.

Nosocomial Pneumonia
Viumbe wadogo walioishi kwenye mazingira ya antibiotics kwa muda mrefu hujijengea uwezo wa kuhimili dawa hizo na pindi wakiingia katika mapafu husababisha nosocomial pneumonia. Bacteria wa aina hii hupatikana kwenye majumba ya kuuguzia wagonjwa na katika hospitali
Safi sana kwa darasa tamu. JF foreer
 
) au wale wanaotumia pombe kwa wingi hupata pneumonia kutokana na bacteria waitwao Klebsiella pneumoniae na Hemophilus influenzae
Hapa tunaomba ufafanuzi wa kina juu ya uhusiano wa Pombe na hao bacteria unakuwaje.

Hiyo pombe ndo ina hao bacteria ama inakuwa vipi ?
 

Nini Chanzo Cha Pneumonia

Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi:

Bacterial Pneumonia

Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu ugonjwa wa obstructive pulmonary disease (COPD) au wale wanaotumia pombe kwa wingi hupata pneumonia kutokana na bacteria waitwao Klebsiella pneumoniae na Hemophilus influenzae. Baadhi ya wagonjwa wengine hupata ugonjwa huu kutokana na bacteria aitwaye Mycoplasma pneumoniae.

Maji yasiyo salama yakinywewa au kutumika ndani ya viyoyozi husababisha pneumonia kutokana na bacteria aitwaye bacterium Legionella pneumoniae.

ZIFUATAZO NI AINA ZA NIMONIA


Kuna aina ya pneumonia, pneumocystis carinii pneumonia, ambayo hushambulia mapafu yote mawili inayotokana na mwili kuwa na upungufu wa kinga unaotokana na magonjwa ya kansa au UKIMWI au kutibiwa rheumatoid arthritis na baadhi ya dawa.

Viral Pneumonia
Hii ni pneumonia inayotokana na virusi na ambayo haisikii tiba za antibiotics. Baadhi ya virusi wa aini hii ni Adenoviruses, rhinovirus, influenza virus (flu), respiratory syncytial virus (RSV), na parainfluenza virus.

Fungal Pneumonia
Aina hii ya pneumonia husababishwa na fangasi wa aina za histoplasmosis, coccidiomycosis, blastomycosis, aspergillosis, na cryptococcosis.

Nosocomial Pneumonia
Viumbe wadogo walioishi kwenye mazingira ya antibiotics kwa muda mrefu hujijengea uwezo wa kuhimili dawa hizo na pindi wakiingia katika mapafu husababisha nosocomial pneumonia. Bacteria wa aina hii hupatikana kwenye majumba ya kuuguzia wagonjwa na katika hospitali

Ni vizuri pia ungesema kuwa wakipata COVID19 hawanasua kwa kuwa pombe inapunguza uwezo wa kinga mwilini
Hii Pneumonia ilikuwepo since 19 kweusi na pia inaambukwizwa na the most common bacteria known as Streptococcus pneumoniae and Staphylococcus aureus,
 

Nini Chanzo Cha Pneumonia

Pneumonia husababishwa na bacteria, virusi, fangasi na vyanzo vingine. Hapa chini tutaona baadhi ya vyanzo hivi kwa undani zaidi:

Bacterial Pneumonia

Wagonjwa wengi wa pneumonia hushambuliwa na bacteria aitwaye Streptococcus pneumoniae. Watu wanaougua kwa muda mrefu ugonjwa wa obstructive pulmonary disease (COPD) au wale wanaotumia pombe kwa wingi hupata pneumonia kutokana na bacteria waitwao Klebsiella pneumoniae na Hemophilus influenzae. Baadhi ya wagonjwa wengine hupata ugonjwa huu kutokana na bacteria aitwaye Mycoplasma pneumoniae.

Maji yasiyo salama yakinywewa au kutumika ndani ya viyoyozi husababisha pneumonia kutokana na bacteria aitwaye bacterium Legionella pneumoniae.

ZIFUATAZO NI AINA ZA NIMONIA


Kuna aina ya pneumonia, pneumocystis carinii pneumonia, ambayo hushambulia mapafu yote mawili inayotokana na mwili kuwa na upungufu wa kinga unaotokana na magonjwa ya kansa au UKIMWI au kutibiwa rheumatoid arthritis na baadhi ya dawa.

Viral Pneumonia
Hii ni pneumonia inayotokana na virusi na ambayo haisikii tiba za antibiotics. Baadhi ya virusi wa aini hii ni Adenoviruses, rhinovirus, influenza virus (flu), respiratory syncytial virus (RSV), na parainfluenza virus.

Fungal Pneumonia
Aina hii ya pneumonia husababishwa na fangasi wa aina za histoplasmosis, coccidiomycosis, blastomycosis, aspergillosis, na cryptococcosis.

Nosocomial Pneumonia
Viumbe wadogo walioishi kwenye mazingira ya antibiotics kwa muda mrefu hujijengea uwezo wa kuhimili dawa hizo na pindi wakiingia katika mapafu husababisha nosocomial pneumonia. Bacteria wa aina hii hupatikana kwenye majumba ya kuuguzia wagonjwa na katika hospitali
mkuu umegusia pombe na pneumonia
pombe husababisha pneumonia kama mtu atalewa mpka kupoteza uwezo wa mwili kuendesha matendo yasiyo ya hiari yaani koo la hewa kushindwa kuziba na kuruhusu gastric content kuingia kwenye njia ya hewa wakati mtu kalewa kupitiliza kumpelekea mpka kutapika mara kwa mara

hii inaitwa aspirating pneumonia ambayo husababishwa bacteria sasa njee na zile community acquired pneumonia na hospital acquired pneumonia(ambazo utakuta pneumo cystic pneumonia PCP OR Pneumocystic juverii pneumonia PJP due Hiv stage stage 4

ila pombe inasababisha kwa style hiyo na study nying ama research nyingi inaonesha pombe inachangia kwa kiwango kikubwa kuwa chanzo cha magonjwa

ivo unywaji holela wa pombe n hatare kwa maslahi ya afya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom