Je, unajua sheria za kuvaa tai?

Je, unajua sheria za kuvaa tai?

Kungunimgomvi

Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
12
Reaction score
1
Kuna vitu ambavyo ukifanya huku umeulamba tai utaharibu sana
1: ukivaa tai.....usile mua
2:ukivaa tai......usiongee...hadi mate yakatoka

Naomba muendeleze hapo
 
Ukivaa tai usivae mlegezo ni full mayeno
 
1: hairuhucwi kuvaa kandambili
2: hairuhucwi kula barabarani
3: hairuhucwi kuuliza mda
4: hairuhucwi kupanda baiskeli
5: hairuhucwi kusimama gengeni
 
Kuna vitu ambavyo ukifanya huku umeulamba tai utaharibu sana
1: ukivaa tai.....usile mua
2:ukivaa tai......usiongee...hadi mate yakatoka

Naomba muendeleze hapo

Hayo ni ya kweli sasa mbona umeweka jukwaa la utani?

Ukivaa tai usivae sandals
 
Unaruhusiwa kujamba lakini usitoe sauti yaani silencer.
 
usiwe huna hata mia mfukon maana ombaomba wote watakutolea macho ww
 
Kama ni hivi ...wale wooote Bwana asifiwe wanavunja masharti 😉":banghead:
 
1. Usitoa Fedha chafu .
2. Usitembee mda mrefu kwa mguu. ( use car )
3. Usiwe muoga ( msimamo ni muhimu)
4. Usiongee au kuchangi jambo la kipuuzi ,make sure ukiongea unatoa cheche. ({STRONG POINT}
5. Usilewe pombe kupitiloza kufika mahali hujielewi.
6. Usiwe na pessa chafu za note.
7. Mfuko wa shart uweke noti kubwa kubwa , kama Elfu tano na elfu kumi na epuka sarafu nyingi.
8. Make sure kola(color) ya shart na sehemu nyingine si chafu.
9. Usinune kupitiliza ,have a little smile .. usipitilize kucheka . 10. Usiwe mtu wa kiherehere kuchangia kila mada itakayozungumzwa kwenye mikusanyiko ya watu wengi.
11. Ukibeba gazeti make sure si gazeti la "Udaku"
 
Back
Top Bottom