Je unajua Kwanini watu hutukana?

Je unajua Kwanini watu hutukana?

Matusi ni vihisishi.

Sasa watu wasioweza kudhibiti hasira lazima watatumia sana matusi. Wanatukanwa na wao wanajifunza.

Pia matusi yanaweza tumika kama rejesta na makundi ya watu mfano walevi, wavuta bangi, makonda nk....
 
Alisema Mzee mmoja: kutafakari sio jambo jepesi, ndio maana watu huishia kwenye matusi.

So ukiona watu humu jf wanamatusi ujue uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ....most of them wanakuwa wafupi/ pia watata

Cognizant tupe uzoefu wako mkuu
most of them wanakuwa wafupi/ pia watata
Bashite hayupo na shepu ya hivi ila ni mtukanaji nguli, unalijua hilo?
 
Back
Top Bottom