Je unajua Kwanini watu hutukana?

Je unajua Kwanini watu hutukana?

Msitafute namna ya kuepuka kutukanwa.Don't provoke anybody if at all you don't like negative reactions.Anayetukana anaonesha hisia halisi za mapokeo ya alichofanyiwa ili ajipooze nafsi yake.Epuka kukorofisha mtu asije kukurudi kihisia.
Kwel kabisa kama mtu anajisikia kutukana ni vizuri atukane tu , wala matusi hayana madhara kwa mtukanwaji kama afya ya akili ipo sawa.

Tusi litakua tusi endapo tu mtukwanaji atalichukulia katika hali ya hisia hasi.

Wabongo wengi afya zetu za akili zinamatatzo kwa ajili ya kutawaliwa na mawazo hasi na hisia haribifu.
 
Matusi ni vihisishi.

Sasa watu wasioweza kudhibiti hasira lazima watatumia sana matusi. Wanatukanwa na wao wanajifunza.

Pia matusi yanaweza tumika kama rejesta na makundi ya watu mfano walevi, wavuta bangi, makonda nk....
So unapinga kuwa matusi sio end of thinking capacity ( etc)
 
Alisema Mzee mmoja: kutafakari sio jambo jepesi, ndio maana watu huishia kwenye matusi.

So ukiona watu humu jf wanamatusi ujue uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ....most of them wanakuwa wafupi/ pia watata

Cognizant tupe uzoefu wako mkuu
Ufupi wetu unahusikaje mkuu🤣
 
Alisema Mzee mmoja: kutafakari sio jambo jepesi, ndio maana watu huishia kwenye matusi.

So ukiona watu humu jf wanamatusi ujue uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ....most of them wanakuwa wafupi/ pia watata

Cognizant tupe uzoefu wako mkuu
Wewe ndio unaakili kisa mrefu mbona mtu mfupi anakuibia mke kisa huna mashine kubwa yaani unamfuma na kamtu kana hela tena kafupi kanalindwa wewe mrefu mwenye akili unavyodai unaajiriwa bado . Huna hela unategemea mshahara
 
Wewe ndio unaakili kisa mrefu mbona mtu mfupi anakuibia mke kisa huna mashine kubwa yaani unamfuma na kamtu kana hela tena kafupi kanalindwa wewe mrefu mwenye akili unavyodai unaajiriwa bado . Huna hela unategemea mshahara
Umekosea mkuu ....mtu mfupi hawezi kuwa na mashine kubwa.... wafupi wengi ni viba100
 
Back
Top Bottom