Ndio mkuu wanakula ,ishu Ni kwamba
Ndege aina yoyote Ni adimu Sana china.kuna jamaa alikuwa akifanya research ya ndege huko china. anasema ndege wengi huliwa kama chakula hivyo Kuna upungufu mkubwa wa ndege. Pili, Wachina hawapendi miti. Hutaona miti katika miji ya Kichina labda kwenye vijiji vinavyozunguka miji mikubwa tambua kuwa Ndege hawawezi kuishi kwenye majumba na magorofa yaliyojengwa na zege. Pia, kwa wakati huo raisi wao Mao aliweka mpango wa kuondoa ndege aina ya sparrow sijajua kwa kiswahili wanaitwaje Ila hapa bongo wapo wengi Sana Ni vidogo dogo hv vinakula nafaka. Aliita sparrow Kama ndege wa ubepari.' Kwa bahati mbaya, Mao hakuwa mtu mwenye busara sana. Karibu maoni yake yote hayakuwa na maana.Hakugundua ndege walikula wadudu, na walikuwa sehemu ya mfumo wa ikolojia. Kwa hivyo uzalishaji wa mchele ulianza kupungua. lakini Sparrow waliondolewa karibu kufikia hatua ya kutoweka nchini China,ndiyo sababu hauoni ndege nchini Uchina