CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Kuku anapo timiza mwaka mmoja tangu aanze kutaga, Utagaji huanza kushuka taratibu mpaka kufikia mwisho, na hapa kwa mfugaji alioko siriasi atakuwa na batch za kuku wa kuleplace kila baada ya Miezi 3, Yaani kila Baada ya Miezi 3 unatakiwa uwe tiyari na Batch ya kuku watakao chukua nafasi ya watakao choka kutaga.
Kushindwa kufanya hivyo kuna maanisha kuna kipindi itafika production itashuka mpaka 0 na hutakiwi kusubili kuku waliopo wazeeke au uwatoe ndo uingize vifaranga wapya, kufanya hivyo maana yake ni kwamba utapoteza wateja wako wote ulio kuwa nao.
NANI ANAFANYA HIVYO?
Kushindwa kufanya hivyo kuna maanisha kuna kipindi itafika production itashuka mpaka 0 na hutakiwi kusubili kuku waliopo wazeeke au uwatoe ndo uingize vifaranga wapya, kufanya hivyo maana yake ni kwamba utapoteza wateja wako wote ulio kuwa nao.
NANI ANAFANYA HIVYO?