kuna program ita anza muda si mrefu na makampuni yanayojifanya eti they are fighting against AIDS, hii program italenga mahusiano ya mwanaume na mwanaume wafanye ngono salala, waingiliane bila kuambukizana ukimwi, kwa hiyo hii program italenga kuwapa support watu hawa ktk moraly na material, kwa hiyo watapewa hela na mafuta ya kulainishia nani hii ili kuondoa mmichubuko.....jaman huu ni ujinga tuwe macho,