Utambulisho Wa mwanzo Wa biashara/huduma au jina la kampuni yako ni NEMBO/LOGO. Wasiliana nami Kama unahitaji nyenzo muhimu katika utambulisho wako ili ni-design NEMBO/ LOGO yako. Pia kama unataka kuiboresha au kuipa mtazamo mpya NEMBO/LOGO uliyokuwa nayo kwa sasa. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com
Nina-design label za products vilevile. Pls. Nitumie email yk ili nikutumie sample ya labels nilizowatengenezea clients wengine. Na kaka, label ya product ambayo Ina-function Kama Brand identity ya hiyo product ni tofauti na logo. Logo ni identity ya kampuni inayotengeneza hiyo product. Mfano: angalia "blue shwosh" na neno Azam ni logo ya kampuni ya Azam but, Uhai (na label iliyopo ktk chupa za maji ya kampuni hiyo) ni brand identity ya Maji yanayotengenezwa na kampuni ya Azam. Sasa angalia tofauti inayojitokeza Kati ya Azam logo na label za bidhaa zake nyingine then you will know what I mean. Thanks
Nina-design label za products vilevile. Pls. Nitumie email yk ili nikutumie sample ya labels nilizowatengenezea clients wengine. Na kaka, label ya product ambayo Ina-function Kama Brand identity ya hiyo product ni tofauti na logo. Logo ni identity ya kampuni inayotengeneza hiyo product. Mfano: angalia "blue shwosh" na neno Azam ni logo ya kampuni ya Azam but, Uhai (na label iliyopo ktk chupa za maji ya kampuni hiyo) ni brand identity ya Maji yanayotengenezwa na kampuni ya Azam. Sasa angalia tofauti inayojitokeza Kati ya Azam logo na label za bidhaa zake nyingine then you will know what I mean. Thanks
nitume mimi hapa qq.com@hotmail.co.uk naweza kukupa kazi moja
Utambulisho Wa mwanzo Wa biashara/huduma au jina la kampuni yako ni NEMBO/LOGO. Wasiliana nami Kama unahitaji nyenzo muhimu katika utambulisho wako ili ni-design NEMBO/ LOGO yako. Pia kama unataka kuiboresha au kuipa mtazamo mpya NEMBO/LOGO uliyokuwa nayo kwa sasa. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com
Nitawatumia nyote Mungu akipenda kesho. Thanks
ok mdau tutajitahidi kufuatilia
Habari sista Mimtamu. Usijali nitakutumia. Pia ukishaona baadhi ya Kazi zangu ndo utajua Kama nina uwezo Wa kukusadia kimawazo nami kujifunza mengi kwako. Muhimu, kutokana na Imani yangu, sijihusishi na project za watu au kampuni zinazojihusisha na pombe, ulevi, Kamari, na mambo kama hayo