Je, Unafahamu nini kuhusu Patent (Hati miliki)?

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,471
5,481
Leo naona nilite mada Chokonozi;

Wengi tumewahi sikia maneno kama Copyright, Trademark patent na mengine kama hayo. Wengine tunayasoma tu tukifikiri na vibwagizo lakini kuna wengine wanayatumia katika kuhakikisha kwamba wanaweka rekodi sawa na zaidi wanazitumia kufanikiwa katika Biashara.

Kuna watu huwa wantengeneza Logo/Nembo za biashara na kutumia muda kuzipromote mtandaoni lakini hawajui kwamba akitokea mtu akazisjaili anaweza kuwanyang'anya na kuzitumia yeye.

Kuna watu wanachukua vifaa fulani na kuvifanyia maboresho na kisha kuja na kitu kingine tofauti lakini hawasajili ule uunifu wao na kujikuta wakishindwa kufaidi matunda ya ubunifua wao hasa pale wenye mitaji wanapoanza kuutumia kujinufaisha.

Kuna watu ni wabunifu by nature. Yaani wana uwezo ama wa kutengenezavitendea kazi au program za Computer our hata vyombo vinge tofauti kama aina fulani ya majiko na vifaa,lakini kwa kutokujua au kutoupa umuhimu ubunifu au ugunduzi wao wanabaki wakilia njaa kumbe utajiri wao walikuwa wanazunguka nao wakati wote.

TradeMark/ServiceMark,patents na Copyrights zote zinalindwa kwa sheria. Ni kosa mtu kuiga nembo yako ya biashara na ni kosa mtu kutumia ubunifu wako bila kukupa mrahaba. Biashara ya Patent ni moja kati ya biashara ya kipekee sana.Kama wewe ni mtaalamu katika eneo fulani unaweza tu ukawa kazi yako ni kutafiti na kuboresha na kugundua na kisha unatengeza pesa kwa kuwauzia wenye mitaji zile Patents zako.

Kumbuka Patent ikishasajiliwa inakuwa ni bidhaa ambayo unaweza kumuuzia mtu.

Watu wengi sana hawatumii hii fursa ya kutafuta namna ya kugundua njia mpya za kufanya mambo kwa kutafuta suluhu za matatizo yetu ya kila siku.

Wale ambao wnasemaga kwamba kuwa na wazo haitoshi huu ni wakati sasa wa kujifunza JINSI Patent inaweza kubadili maisha yako.

Vitu vya kufayhamu ni kwamba unaweza kufanya Patent ndogo ya maboresho(Utility model protection) au Patent kubwa.Unaweza sajili patent kwa nchi zaidi ya moja(International patent au local patent).

Leo nimeona nilete mjadala huu mdogo ili tujadili uelewa wetu kuhusu sheria za haki miliki na ni kwa namna gani mtu anaweza kutumia Hakimiliki (Patent katika kujitengenezea FURSA.

Karibuni tujadili kwani hii ni mada pana pia.
 
Wachina wamefanya kazi ya kukopi tech za USA company na serikali yao haiwafanyi kitu.

Patent inalindwa sana ndani ya nchi kuliko nje.Western countries wanajitahidi sana kulinda ila nchi za Africa ,china utapigwa tu.

Halafu jambo lingine kwa sisi wabongo wengi hawawezi ku afford gharama za patents maana zimekaa kibiashara zaidi.

Usajili ungekuwa bure ila wazo lilianza kuzalisha ndio ulipie vinginevyo watu masikini gunduzi zao zitaendelea kufaidisha wenye pesa hasa kwetu Africa mfano mzuri ni kazi za sanaa kila siku wasanii wanalia kuibiwa kazi zao na hakuna hatua za maana dhidi ya pirates.
 
Wachina wamefanya kazi ya kukopi tech za USA company na serikali yao haiwafanyi kitu.

Patent inalindwa sana ndani ya nchi kuliko nje.Western countries wanajitahidi sana kulinda ila nchi za Africa ,china utapigwa tu.

Halafu jambo lingine kwa sisi wabongo wengi hawawezi ku afford gharama za patents maana zimekaa kibiashara zaidi.

Usajili ungekuwa bure ila wazo lilianza kuzalisha ndio ulipie vinginevyo watu masikini gunduzi zao zitaendelea kufaidisha wenye pesa hasa kwetu Africa mfano mzuri ni kazi za sanaa kila siku wasanii wanalia kuibiwa kazi zao na hakuna hatua za maana dhidi ya pirates.
Mkuu,kwanza gharama za patent hazikuzuii wewe kusajili patent yako ni uamuzi na thamani ya patent yako.Kutumika kwa patent yako illegally hakukuzuii wewe kuweka patent nao pia ni uamuzi wako na thamani ya ubunifu wako.Kufanya usajili wa patent kuwa bure hakutaongeza idadi ya patents.

Tatizo ni watu kutokuelewa umuhimu wa Patents na kutokutaka kuoandisha ugunduzi wao thamani na katika eneo hilo ni lazima tupeano moyo na kuelimishana ili tulinde gunduzi zetu.
 
Mkuu,kwanza gharama za patent hazikuzuii wewe kusajili patent yako ni uamuzi na thamani ya patent yako.Kutumika kwa patent yako illegally hakukuzuii wewe kuweka patent nao pia ni uamuzi wako na thamani ya ubunifu wako.Kufanya usajili wa patent kuwa bure hakutaongeza idadi ya patents.

Tatizo ni watu kutokuelewa umuhimu wa Patents na kutokutaka kuoandisha ugunduzi wao thamani na katika eneo hilo ni lazima tupeano moyo na kuelimishana ili tulinde gunduzi zetu.
Wasanii hawajui faida ta kusajili kazi zao, mbona zinakopiwa hovyo tu mitaanani? Unafikiri hawatamani kudhibiti kazi zao na kunufaika.

Africa kudhibiti kazi zako ni ngumu hasa kama huna pesa.

USA mtu anapatend hata akigundua ufagio je bongo utaweza kudhibiti vitu vidogo vidogo.

Serikali zetu hazina commitment kuzuia wizi wa kazibunifu ni porojo porojo tu.

Nimewahi fuatilia gharama za USA si chini ya dola 100 tena kitambo , nakwambia watu wengi duniani hawawezi afford ila mabepari tu ndio wenye uwezo.

Watu wengi bunifu zao zinapotea kwa kutokuwa na hela na urasimu japo wapo wasiojua taratibu mfano sekta ya madawa asili wengi hawajui na gunduzi zao zinanufaisha wajanja.
 
Kutumika kwa patent yako illegally hakukuzuii wewe kuweka patent nao pia ni uamuzi wako na thamani ya ubunifu wako
Nini lengo la patent kama sio kulinda isikopiwe bila faida? Sasa kuna haja gani ya kusajili iwapo hailindwi na mamlaka, pesa wanachukua za nini?

tulinde gunduzi zetu.
Unalindaje gunduzi wakati kuna wachina wezi wa bunifu wamejaa kila kona, wachina wamekopi kazi za masai na kusambaza afrika nzima! hujawahi ziona sendo za kimasai zilizozalishwa na wachina.

Nagikiri tuanze kwanza kusimamia sheria ndio tuhimize watu kusajili mawazo bola hivyo no kupoteza pesa bkra gunduzi yako uiuze kuu kwa juu.

Nasikia underground COSTECH officers wanatabia ya kuuza idea nzuri za watu, nalo hilo ulijue.
 
Nini lengo la patent kama sio kulinda isikopiwe bila faida? Sasa kuna haja gani ya kusajili iwapo hailindwi na mamlaka, pesa wanachukua za nini?


Unalindaje gunduzi wakati kuna wachina wezi wa bunifu wamejaa kila kona, wachina wamekopi kazi za masai na kusambaza afrika nzima! hujawahi ziona sendo za kimasai zilizozalishwa na wachina.
Nagikiri tuanze kwanza kusimamia sheria ndio tuhimize watu kusajili mawazo bola hivyo no kupoteza pesa bkra gunduzi yako uiuze kuu kwa juu.
Nasikia underground COSTECH officers wanatabia ya kuuza idea nzuri za watu, nalo hilo ulijue.
Unaposajili patent unapata haki ya kumshtaki yoyote ambaye anaitumia vibaya bila kibali chako.Jukumu na haki ya kulinda ni yako na ile hati ya usajili wa patent yako ndio inakupa haki ya kulalamika
 
Bonge moja la uzi, nimefurahi kuukuta maana nimekua mvivu kila ninapotaka kulizungunzia hili suala lakini wacha nichangie kidogo.

Pamoja na shighuli nyingine ninazofanya lakini ni mdau ama consultant wa bunifu ama Intellectual Property kwa maana ya kushauri, kisajili na kulinda bunifu hizi hasa hasa nikijikita katika usajili makampuni, majina ya biashara(business names), hakimiliki(Copyright) ambapo kuna muziki, filamu, michoro sanifu, computer and mobile Applications nk, alama za biashara (trade marks, nk
Kwa hapa nchini bado tunaota 'virgin area' katika uwanda wa Intellectual property kwani bado wananchi hawana uelewa wa kina wa masuala haya hivyo wajanja wachache wenye uelewa na masuala haya wamekua wakitumia upenyo huu kuweza kujinufaisha hasa palipo na upenyo wa kisheria.
Mfano, bunifu nyingi za kiviwanda kama vile majina ya biashara, trade marks, industrial design, nk huwa atakayekua wa kwanza kusajili basi ndio huyo atakua ni mmiliki halali😂😂😂😂 kwa hiyo ukiwahiwa tu imekula kwako.
Ni Copyright pekee ambayo hiyo rule tajwa hapo juu haifanyi kazi lakini nako wahisika wake wengi hawana uelewa wowote kuhusu haki zao na ndio maana wamekua wakipiga kelele kuhusu kazi zao kuibiwa na wengine wakiunga mkono lawama hizo pasipo kujua utaratibu wa kufuata.

Sikubaliani na sababu ya kusema kuwa gharama ni kubwa za kusajili bunifu wakuu kwa mifano halisi kuwa hapa nchini kusajili Copyright ni shilling elfu kumi na moja tu(11,000/-) huku kusajili jina la biashara ikiwa ni shilingi elfu ishirini tu(20,000/-) utalalamika vipi kuwa hizo gharama ni kubwa? Yaani ukalindiwe film yako kwa efu 11 useme gharama ni kubwa?

Kwa hapa nchini tuna taasisi mbili ambazo zinahusika na usajili wa bunifu(Intellectual Property), kwa upande wa Hakimiliki ama Copyright yaani kuanzia film, music, vitabu, michoro sanifu, program za simu na kompyuta, picha, events au matamasha hivyo vyote vinasajiliwa na taasisi ya Hakimiliki Tanzania(Copyright Society of Tanzania) ambao ofisi zao zipo pale majengo ya Utumishi, Kivukoni.
Kwa upande wa bunifu zingine za kiviwanda kuanzia majina ya biashara, alama za biashara, nembo za biashara, utility models, nk hizi zinasajiliwa BRELA ambao ofisi zao zipo BRELA house ambapzo zipo jirani kabisa na chuo cha IFM Posta.
Na kizuri zaidi kuhusu taasisi hizo mbili wote wana mifumo ya usajili online kwa hiyo mdau yeyote toka sehemu yoyote ya nchi anaweza kupata usajili wa bunifu zake baada ya kukidhi vigezo vilivyoainishwa.

Consultation ya Intellectual Property ni gharama kubwa sana hapa nchini kwani wataalamu wake ni wachache sana na nimeshuhudia wengi wakiingizwa chaka na kulia baadae hasa kwa upande wa bunifu za kiviwanda kwani wamekutana na watu wasio na utaalamu mzuri katika sekta hivyo kushauriwa vibaya.

Kuna techniques katika kuwin sajili za hizi bunifu na kama sio mzoefu unaweza kugonga mwamba kumbe hujafahamu kwa sababu ni suala la kitaalamu, pia kuna bunifu nyingine utapaswa kusajili katika ofisi zote mbili za COSOTA na BRELA ili kupata ulinzi kamili na hapa kwenye hizi techniques ndipo ambapo gharama huja.

Niishie hapa kwa leo.
 
Wachina wamefanya kazi ya kukopi tech za USA company na serikali yao haiwafanyi kitu.
Patent inalindwa sana ndani ya nchi kuliko nje.Western countries wanajitahidi sana kulinda ila nchi za Africa ,china utapigwa tu.
Halafu jambo lingine kwa sisi wabongo wengi hawawezi ku afford gharama za patents maana zimekaa kibiashara zaidi.
Usajili ungekuwa bure ila wazo lilianza kuzalisha ndio ulipie vinginevyo watu masikini gunduzi zao zitaendelea kufaidisha wenye pesa hasa kwetu Africa mfano mzuri ni kazi za sanaa kila siku wasanii wanalia kuibiwa kazi zao na hakuna hatua za maana dhidi ya pirates.
Nadhani unajaribu kumaanisha kuwa ada za shule zianze kulipwa baada ya mwanafunzi kuanza kuelewa masomo.
Mimi maoni yangu kuhusu ada za usajilo sio kikwazo mkuu ni ada rafiki sanaaaa hasa ukilinganisha na zile za nchi nyingine, ni vile tu hatutaki kufuatilia na kuujua ukweli hivyo tunaishia kulishana matangopori huku mtaani
 
Mkuu yaani hao wasanii ndio vichekesho kweli, mtu wimbo wake umeibiwa ama filamu yake imeibiwa anaanza kuilaumu serikali badala ya kufuta taratibu.
Ipo hivii, katika Intellectual Property serikali haisimami kuchungulia yanayofanyika chumbani bali wewe mwenye ubunifu ukiona unahujumiwa basi ni jukumu lako kuijulisha serikali ili hatua zichukuliwe. Mfano albam ya mwanamuziki ikiwa inauzwa basi huaminika kuwa imetoka kwa msanii husika hadi pale msanii huyo atakapolalamika katika mamlaka husika kuwa anahujumiwa.
Nimehudhuria case mbalimbali zilizofanyika hapo BRELA na COSOTA na nimeshuhudia hilo ni vile tu watu hatutaki kufuatilia bali kuishia kuishi na habari za kisimuliwa.
Wasanii hawajui faida ta kusajili kazi zao, mbona zinakopiwa hovyo tu mitaanani? Unafikiri hawatamani kudhibiti kazi zao na kunufaika.
Africa kudhibiti kazi zako ni ngumu hasa kama huna pesa.
USA mtu anapatend hata akigundua ufagio je bongo utaweza kudhibiti vitu vidogo vidogo.
Serikali zetu hazina commitment kuzuia wizi wa kazibunifu ni porojo porojo tu.
Nimewahi fuatilia gharama za USA si chini ya dola 100 tena kitambo , nakwambia watu wengi duniani hawawezi afford ila mabepari tu ndio wenye uwezo.
Watu wengi bunifu zao zinapotea kwa kutokuwa na hela na urasimu japo wapo wasiojua taratibu mfano sekta ya madawa asili wengi hawajui na gunduzi zao zinanufaisha wajanja.
 
Nini lengo la patent kama sio kulinda isikopiwe bila faida? Sasa kuna haja gani ya kusajili iwapo hailindwi na mamlaka, pesa wanachukua za nini?


Unalindaje gunduzi wakati kuna wachina wezi wa bunifu wamejaa kila kona, wachina wamekopi kazi za masai na kusambaza afrika nzima! hujawahi ziona sendo za kimasai zilizozalishwa na wachina.
Nagikiri tuanze kwanza kusimamia sheria ndio tuhimize watu kusajili mawazo bola hivyo no kupoteza pesa bkra gunduzi yako uiuze kuu kwa juu.
Nasikia underground COSTECH officers wanatabia ya kuuza idea nzuri za watu, nalo hilo ulijue.
Mkuu, katika uvunjifu wa haki-bunifu ni lazma uthibitishe masuala yafuatayo
1. UMILIKI WA UBUNIFU
2. UHUJUMU
3. MADHARA YA UHUJUMU HUO
Watu wanawalaumu wachina lakini hapo juu nimezungumzia kuwa zipo techniques mbalimbali ambazo hutumika katika suala hili la haki bunifu na wao wamekua wakipitia upenyo huo lakini kabla hijalalamika ni vema ujiulize kama bayo mambo matatu hapo juu yameonekana. Kutokana na wachina kuwa na high penetration to the market imebidi makampuni makubwa kuingia ubia nao kwa ajili ya kuendeleza uzalishaji wa bidhaa zao huku wakogawana faida
 
Nini lengo la patent kama sio kulinda isikopiwe bila faida? Sasa kuna haja gani ya kusajili iwapo hailindwi na mamlaka, pesa wanachukua za nini?


Unalindaje gunduzi wakati kuna wachina wezi wa bunifu wamejaa kila kona, wachina wamekopi kazi za masai na kusambaza afrika nzima! hujawahi ziona sendo za kimasai zilizozalishwa na wachina.
Nagikiri tuanze kwanza kusimamia sheria ndio tuhimize watu kusajili mawazo bola hivyo no kupoteza pesa bkra gunduzi yako uiuze kuu kwa juu.
Nasikia underground COSTECH officers wanatabia ya kuuza idea nzuri za watu, nalo hilo ulijue.
Unapeleka vipi ubunifu wako COSTECH kabla ya kuusajili wakati hawahusiki na usajili ama umilikishaji wa ubunifu wa aina yoyote? Halafu ulalamike kuibiwa?
Tatizo ni kuwa hatuhangaiki kusaka maalifa sahihi bali tunatafuka mteremko kisha kuumizwa
 
Unapeleka vipi ubunifu wako COSTECH kabla ya kuusajili wakati hawahusiki na usajili ama umilikishaji wa ubunifu wa aina yoyote? Halafu ulalamike kuibiwa?
Tatizo ni kuwa hatuhangaiki kusaka maalifa sahihi bali tunatafuka mteremko kisha kuumizwa
Nani anathibitisha kuwa ubunifu wako ni wa kweli ili usajiliwe?
 
Mkuu, katika uvunjifu wa haki-bunifu ni lazma uthibitishe masuala yafuatayo
1. UMILIKI WA UBUNIFU
2. UHUJUMU
3. MADHARA YA UHUJUMU HUO
Watu wanawalaumu wachina lakini hapo juu nimezungumzia kuwa zipo techniques mbalimbali ambazo hutumika katika suala hili la haki bunifu na wao wamekua wakipitia upenyo huo lakini kabla hijalalamika ni vema ujiulize kama bayo mambo matatu hapo juu yameonekana. Kutokana na wachina kuwa na high penetration to the market imebidi makampuni makubwa kuingia ubia nao kwa ajili ya kuendeleza uzalishaji wa bidhaa zao huku wakogawana faida
Mchina hazuiliki, kampuni za America na Ulaya zimechemka kwa china, sheria za TZ hazifanyi kazi mpaka china.Kinachowasaodia wachina kukopy sio penetration ila technolijia za kuzalisha bitu kwa wepesi na kwa bei ndogo.
Pirates hawafai.
 
Mchina hazuiliki, kampuni za America na Ulaya zimechemka kwa china, sheria za TZ hazifanyi kazi mpaka china.Kinachowasaodia wachina kukopy sio penetration ila technolijia za kuzalisha bitu kwa wepesi na kwa bei ndogo.
Pirates hawafai.
Sio sheria za Tanzania tu, hata sheria za China hazifanyi kazi Tanzania mkuu. Intellectual Property ni suala la kimipaka, au umesahau kilichofanyika hapo Rwanda baina ya kampuni mbili za kitanzania za Azam na Azania?

Ni wajibu wa mbunifu kuhakikisha anasajili bunifu zake kwa nchi zote atakazopenda kulinda na usiposajili hulo ni sawa na umewaambia kuwa waendelee
 
Bonge moja la uzi, nimefurahi kuukuta maana nimekua mvivu kila ninapotaka kulizungunzia hili suala lakini wacha nichangie kidogo.

Pamoja na shighuli nyingine ninazofanya lakini ni mdau ama consultant wa bunifu ama Intellectual Property kwa maana ya kushauri, kisajili na kulinda bunifu hizi hasa hasa nikijikita katika usajili makampuni, majina ya biashara(business names), hakimiliki(Copyright) ambapo kuna muziki, filamu, michoro sanifu, computer and mobile Applications nk, alama za biashara (trade marks, nk
Kwa hapa nchini bado tunaota 'virgin area' katika uwanda wa Intellectual property kwani bado wananchi hawana uelewa wa kina wa masuala haya hivyo wajanja wachache wenye uelewa na masuala haya wamekua wakitumia upenyo huu kuweza kujinufaisha hasa palipo na upenyo wa kisheria.
Mfano, bunifu nyingi za kiviwanda kama vile majina ya biashara, trade marks, industrial design, nk huwa atakayekua wa kwanza kusajili basi ndio huyo atakua ni mmiliki halali😂😂😂😂 kwa hiyo ukiwahiwa tu imekula kwako.
Ni Copyright pekee ambayo hiyo rule tajwa hapo juu haifanyi kazi lakini nako wahisika wake wengi hawana uelewa wowote kuhusu haki zao na ndio maana wamekua wakipiga kelele kuhusu kazi zao kuibiwa na wengine wakiunga mkono lawama hizo pasipo kujua utaratibu wa kufuata.

Sikubaliani na sababu ya kusema kuwa gharama ni kubwa za kusajili bunifu wakuu kwa mifano halisi kuwa hapa nchini kusajili Copyright ni shilling elfu kumi na moja tu(11,000/-) huku kusajili jina la biashara ikiwa ni shilingi elfu ishirini tu(20,000/-) utalalamika vipi kuwa hizo gharama ni kubwa? Yaani ukalindiwe film yako kwa efu 11 useme gharama ni kubwa?

Kwa hapa nchini tuna taasisi mbili ambazo zinahusika na usajili wa bunifu(Intellectual Property), kwa upande wa Hakimiliki ama Copyright yaani kuanzia film, music, vitabu, michoro sanifu, program za simu na kompyuta, picha, events au matamasha hivyo vyote vinasajiliwa na taasisi ya Hakimiliki Tanzania(Copyright Society of Tanzania) ambao ofisi zao zipo pale majengo ya Utumishi, Kivukoni.
Kwa upande wa bunifu zingine za kiviwanda kuanzia majina ya biashara, alama za biashara, nembo za biashara, utility models, nk hizi zinasajiliwa BRELA ambao ofisi zao zipo BRELA house ambapzo zipo jirani kabisa na chuo cha IFM Posta.
Na kizuri zaidi kuhusu taasisi hizo mbili wote wana mifumo ya usajili online kwa hiyo mdau yeyote toka sehemu yoyote ya nchi anaweza kupata usajili wa bunifu zake baada ya kukidhi vigezo vilivyoainishwa.

Consultation ya Intellectual Property ni gharama kubwa sana hapa nchini kwani wataalamu wake ni wachache sana na nimeshuhudia wengi wakiingizwa chaka na kulia baadae hasa kwa upande wa bunifu za kiviwanda kwani wamekutana na watu wasio na utaalamu mzuri katika sekta hivyo kushauriwa vibaya.

Kuna techniques katika kuwin sajili za hizi bunifu na kama sio mzoefu unaweza kugonga mwamba kumbe hujafahamu kwa sababu ni suala la kitaalamu, pia kuna bunifu nyingine utapaswa kusajili katika ofisi zote mbili za COSOTA na BRELA ili kupata ulinzi kamili na hapa kwenye hizi techniques ndipo ambapo gharama huja.

Niishie hapa kwa leo.
Mkuu,asante kwa kuutendea huu uzi haki.Naamni sasa umeweka maarifa ambayo wengi wanayakosa na tunajikuta kuwa taifa la kulalamika na kulaumu.
 
Mkuu,asante kwa kuutendea huu uzi haki.Naamni sasa umeweka maarifa ambayo wengi wanayakosa na tunajikuta kuwa taifa la kulalamika na kulaumu.
Kabisa mkuu, yaani hili ni moja kati ya eneo ambalo limekosa wataalamu kabisaaaa yaani ni wakutafuta kwa tochi. Hata hao mawakili nao hawana uelewa wa lina kuhusu haya mambo japo naona kwa sasa hali inaanza kuwa sawa.

Tujitahidi sana kusaka maarifa
 
Bonge moja la uzi, nimefurahi kuukuta maana nimekua mvivu kila ninapotaka kulizungunzia hili suala lakini wacha nichangie kidogo.

Pamoja na shighuli nyingine ninazofanya lakini ni mdau ama consultant wa bunifu ama Intellectual Property kwa maana ya kushauri, kisajili na kulinda bunifu hizi hasa hasa nikijikita katika usajili makampuni, majina ya biashara(business names), hakimiliki(Copyright) ambapo kuna muziki, filamu, michoro sanifu, computer and mobile Applications nk, alama za biashara (trade marks, nk
Kwa hapa nchini bado tunaota 'virgin area' katika uwanda wa Intellectual property kwani bado wananchi hawana uelewa wa kina wa masuala haya hivyo wajanja wachache wenye uelewa na masuala haya wamekua wakitumia upenyo huu kuweza kujinufaisha hasa palipo na upenyo wa kisheria.
Mfano, bunifu nyingi za kiviwanda kama vile majina ya biashara, trade marks, industrial design, nk huwa atakayekua wa kwanza kusajili basi ndio huyo atakua ni mmiliki halali😂😂😂😂 kwa hiyo ukiwahiwa tu imekula kwako.
Ni Copyright pekee ambayo hiyo rule tajwa hapo juu haifanyi kazi lakini nako wahisika wake wengi hawana uelewa wowote kuhusu haki zao na ndio maana wamekua wakipiga kelele kuhusu kazi zao kuibiwa na wengine wakiunga mkono lawama hizo pasipo kujua utaratibu wa kufuata.

Sikubaliani na sababu ya kusema kuwa gharama ni kubwa za kusajili bunifu wakuu kwa mifano halisi kuwa hapa nchini kusajili Copyright ni shilling elfu kumi na moja tu(11,000/-) huku kusajili jina la biashara ikiwa ni shilingi elfu ishirini tu(20,000/-) utalalamika vipi kuwa hizo gharama ni kubwa? Yaani ukalindiwe film yako kwa efu 11 useme gharama ni kubwa?

Kwa hapa nchini tuna taasisi mbili ambazo zinahusika na usajili wa bunifu(Intellectual Property), kwa upande wa Hakimiliki ama Copyright yaani kuanzia film, music, vitabu, michoro sanifu, program za simu na kompyuta, picha, events au matamasha hivyo vyote vinasajiliwa na taasisi ya Hakimiliki Tanzania(Copyright Society of Tanzania) ambao ofisi zao zipo pale majengo ya Utumishi, Kivukoni.
Kwa upande wa bunifu zingine za kiviwanda kuanzia majina ya biashara, alama za biashara, nembo za biashara, utility models, nk hizi zinasajiliwa BRELA ambao ofisi zao zipo BRELA house ambapzo zipo jirani kabisa na chuo cha IFM Posta.
Na kizuri zaidi kuhusu taasisi hizo mbili wote wana mifumo ya usajili online kwa hiyo mdau yeyote toka sehemu yoyote ya nchi anaweza kupata usajili wa bunifu zake baada ya kukidhi vigezo vilivyoainishwa.

Consultation ya Intellectual Property ni gharama kubwa sana hapa nchini kwani wataalamu wake ni wachache sana na nimeshuhudia wengi wakiingizwa chaka na kulia baadae hasa kwa upande wa bunifu za kiviwanda kwani wamekutana na watu wasio na utaalamu mzuri katika sekta hivyo kushauriwa vibaya.

Kuna techniques katika kuwin sajili za hizi bunifu na kama sio mzoefu unaweza kugonga mwamba kumbe hujafahamu kwa sababu ni suala la kitaalamu, pia kuna bunifu nyingine utapaswa kusajili katika ofisi zote mbili za COSOTA na BRELA ili kupata ulinzi kamili na hapa kwenye hizi techniques ndipo ambapo gharama huja.

Niishie hapa kwa leo.
Kuna kitu najifunza hapa, endeleeni kuchimba zaidi
Leo naona nilite mada Chokonozi;

Wengi tumewahi sikia maneno kama Copyright,Trademark patent na mengine kama hayo.Wengine tunayasoma tu tukifikiri na vibwagizo lakini kuna wengine wanayatumia katika kuhakikisha kwamba wanaweka rekodi sawa na zaidi wanazitumia kufanikiwa katika Biashara.

Kuna watu huwa wantengeneza Logo/Nembo za biashara na kutumia muda kuzipromote mtandaoni lakini hawajui kwamba akitokea mtu akazisjaili anaweza kuwanyang'anya na kuzitumia yeye.
Kuna watu wanachukua vifaa fulani na kuvifanyia maboresho na kisha kuja na kitu kingine tofauti lakini hawasajili ule uunifu wao na kujikuta wakishindwa kufaidi matunda ya ubunifua wao hasa pale wenye mitaji wanapoanza kuutumia kujinufaisha.
Kuna watu ni wabunifu by nature.Yaani wana uwezo ama wa kutengenezavitendea kazi au program za Computer our hata vyombo vinge tofauti kama aina fulani ya majiko na vifaa,lakini kwa kutokujua au kutoupa umuhimu ubunifu au ugunduzi wao wanabaki wakilia njaa kumbe utajiri wao walikuwa wanazunguka nao wakati wote.

TradeMark/ServiceMark,patents na Copyrights zote zinalindwa kwa sheria.Ni kosa mtu kuiga nembo yako ya biashara na ni kosa mtu kutumia ubunifu wako bila kukupa mrahaba.Biashara ya Patent ni moja kati ya biashara ya kipekee sana.Kama wewe ni mtaalamu katika eneo fulani unaweza tu ukawa kazi yako ni kutafiti na kuboresha na kugundua na kisha unatengeza pesa kwa kuwauzia wenye mitaji zile Patents zako.

Kumbuka Patent ikishasajiliwa inakuwa ni bidhaa ambayo unaweza kumuuzia mtu.

Watu wengi sana hawatumii hii fursa ya kutafuta namna ya kugundua njia mpya za kufanya mambo kwa kutafuta suluhu za matatizo yetu ya kila siku.

Wale ambao wnasemaga kwamba kuwa na wazo haitoshi huu ni wakati sasa wa kujifunza JINSI Patent inaweza kubadili maisha yako.

Vitu vya kufayhamu ni kwamba unaweza kufanya Patent ndogo ya maboresho(Utility model protection) au Patent kubwa.Unaweza sajili patent kwa nchi zaidi ya moja(International patent au local patent).
Leo nimeona nilete mjadala huu mdogo ili tujadili uelewa wetu kuhusu sheria za haki miliki na ni kwa namna gani mtu anaweza kutumia Hakimiliki(Patent katika kujitengenezea FURSA.

Karibuni tujadili kwani hii ni mada pana pia.
 
Mkuu,asante kwa kuutendea huu uzi haki.Naamni sasa umeweka maarifa ambayo wengi wanayakosa na tunajikuta kuwa taifa la kulalamika na kulaumu.
nafikiria kusajili business idea yangu kusudi isitumike na makampuni bila ya kunihusisha inawezekana? Njia zipi za kufuata.
 
Back
Top Bottom