Maseke ya Meme
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 695
- 914
Ahsante sana mkuu. Nafurahi kuona watu wengine wenye uelewa wa mambo haya wanachangia mada.. yes ni kweli tuna nguvu kubwa ndani yetu coz tuna uungu.
Kila kitu kinaanzia kwenye subconcious mind basi tu hatujitambui. Laiti tungejua wala dunia tusingeishi kama mashetani
Kweli kabisa mkuu, kama Biblia inavyosema ukiamini kwa imani ndogo kbs sawa na mbegu ya haradali utahamisha milima. Ukiamini na kuilazimisha subconcious mind ikufanyie kazi itavuta na kukuletea chochote unachotaka. Hatujui ndo maana tupo tulivyo, kama ulivosema laiti tungejua!!!