Je, unafahamu janaba?

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,330
Je, unafahamu nn kuhusu kitu kinaitwa Janaba?
Unayajua madhara yake kwa mpenzi wako au mahusiano yako?
 
kwayiyo point yako nini? JANABA ni dude gani? KISAYANSI ni nini?......acha Porojo! Piga PAPUCHI, OGA VIZURI,..JANABA NI mtu mwenyewe na matatizo yake wala Haisababishwi na uchepukaji!....bora ungesema magonjwa angalau ungeeleweka lakini siyo JANABA;
kumshauri mzinzi aogope JANABA ni sawa na kumshauri JANGILI aogope UMANDE!!!!!!
 
Ni Hali ya kutoka manii kwenye ndoto au kumwingilia mwanamke au kitu chochote iwe mnyama au ndege nk au mwanamke kuingiliwa na mwanaume au kitu chochote katika uke wake. Nadhani hata kidole pia anapaswa aoge. Kubwa ni ile ya kufanya jimai basi yapaswa kuoga JANABA

Wajuzi waongezee.
 
kwayiyo point yako nini? JANABA ni dude gani? KISAYANSI ni nini?......acha Porojo! Piga PAPUCHI, OGA VIZURI,..JANABA NI mtu mwenyewe na matatizo yake wala Haisababishwi na uchepukaji!....bora ungesema magonjwa angalau ungeeleweka lakini siyo JANABA;
kumshauri mzinzi aogope JANABA ni sawa na kumshauri JANGILI aogope UMANDE!!!!!!
Jamaa bhana upo tayari lakini kusikia yahusuyo janaba?
 
Ni Hali ya kutoka manii kwenye ndoto au kumwingilia mwanamke au kitu chochote iwe mnyama au ndege nk au mwanamke kuingiliwa na mwanaume au kitu chochote katika uke wake. Nadhani hata kidole pia anapaswa aoge. Kubwa ni ile ya kufanya jimai basi yapaswa kuoga JANABA

Wajuzi waongezee.
Ungenogesha zaidi kwa kuelezea madhara yake mkuu ..what if mtu hataoga
 
Ungenogesha zaidi kwa kuelezea madhara yake mkuu ..what if mtu hataoga
Hakuna madhara yoyote kiafya wala kidini. Janaba ni physical impurity tu unaoga kesi imeisha. Tunasema impurity kwa sababu kwa Waislam ukiwa na hali hiyo hauwezi kusoma Quran, hausali mpaka uoge. Na pia mwili unakuwa wazi yaani impure ni rahisi kupatwa na madudu mabaya kama mapepo lakini hakuna madhara yoyote otherwise.
 
Back
Top Bottom