Jamaa bhana upo tayari lakini kusikia yahusuyo janaba?kwayiyo point yako nini? JANABA ni dude gani? KISAYANSI ni nini?......acha Porojo! Piga PAPUCHI, OGA VIZURI,..JANABA NI mtu mwenyewe na matatizo yake wala Haisababishwi na uchepukaji!....bora ungesema magonjwa angalau ungeeleweka lakini siyo JANABA;
kumshauri mzinzi aogope JANABA ni sawa na kumshauri JANGILI aogope UMANDE!!!!!!
Ungenogesha zaidi kwa kuelezea madhara yake mkuu ..what if mtu hataogaNi Hali ya kutoka manii kwenye ndoto au kumwingilia mwanamke au kitu chochote iwe mnyama au ndege nk au mwanamke kuingiliwa na mwanaume au kitu chochote katika uke wake. Nadhani hata kidole pia anapaswa aoge. Kubwa ni ile ya kufanya jimai basi yapaswa kuoga JANABA
Wajuzi waongezee.
Si kweli.Ata wakristu yanawahusu
Hakuna madhara yoyote kiafya wala kidini. Janaba ni physical impurity tu unaoga kesi imeisha. Tunasema impurity kwa sababu kwa Waislam ukiwa na hali hiyo hauwezi kusoma Quran, hausali mpaka uoge. Na pia mwili unakuwa wazi yaani impure ni rahisi kupatwa na madudu mabaya kama mapepo lakini hakuna madhara yoyote otherwise.Ungenogesha zaidi kwa kuelezea madhara yake mkuu ..what if mtu hataoga
Janaba ni mambo ya waislam. Ukristo unalo neno moja tu, acha uzinzi!!So ukichepuka mkuu unamrudia mkeo kiroho safi na kula mzigo
Exactly, hii ni tamaduni ya waislamu, haiwahusu wasio waislamu!Mambo ya waislam hayo